misasa
JF-Expert Member
- Feb 5, 2014
- 14,244
- 10,073
Ile ya kuchapana viboko?Lockdown inasaidia sana,nchi kama India imefanikiwa kwa kiasi kikubwa kutokana na lockdown,hebu fikiria Wahindi walivyo wengi na misongamano kwenye miji yao.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ile ya kuchapana viboko?Lockdown inasaidia sana,nchi kama India imefanikiwa kwa kiasi kikubwa kutokana na lockdown,hebu fikiria Wahindi walivyo wengi na misongamano kwenye miji yao.
Ulichofanya wewe Ni kumtusi huyo mama, wakati yeye ameongea feelings zake in generalHata mimi ni mawazo yangu pia, mbona kama unafanya kile kile unachonishutumu kukifanya?
Ulichofanya wewe Ni kumtusi huyo mama, wakati yeye ameongea feelings zake in general
Je una uwakika kuwa Sweden hawapo lockdown?Keshakuwa brainwashed huyo mama, anaona Muingereza ndio kipimo cha kila kitu kwa kuwa tu wanamuwezesha kwenda chooni, mbona hasemi kuna za Ulaya kama Swedeni, Island hazijafanya lockdown, Wananchi walikuwa wanajiachia tu zaidi hata Bongo, Bars zote, migahawa, masoko, parks zipo wazi na maambukizi na waliokufa Sweden ni wachache kuliko huko kwa mataahira Uingereza walikofunga kila kitu na kubomoa Uchumi lkn bado wamekufa kwa wingi zaidi, ...
Waingereza wamekukosea nini mpaka unawaita mataahira?Keshakuwa brainwashed huyo mama, anaona Muingereza ndio kipimo cha kila kitu kwa kuwa tu wanamuwezesha kwenda chooni, mbona hasemi kuna za Ulaya kama Swedeni, Island hazijafanya lockdown, Wananchi walikuwa wanajiachia tu zaidi hata Bongo, Bars zote, migahawa, masoko, parks zipo wazi na maambukizi na waliokufa Sweden ni wachache kuliko huko kwa mataahira Uingereza walikofunga kila kitu na kubomoa Uchumi lkn bado wamekufa kwa wingi zaidi, ...
Waingereza wamekukosea nini mpaka unawaita mataahira?
Nimeuliza,nahitaji jibu!Utaahira wao ni nini?Ushabiki maandazi sina mimi!Kwani wewe ni english?
Nimeuliza,nahitaji jibu!Utaahira wao ni nini?Ushabiki maandazi sina mimi!
Sio English,haya jibu hapa!Utaahira wao ni nini?Hata mimi nimeuliza pia, wewe ni english?
Akimaliza kuwaza tunampa kadi ya chama na Jimbo agombee
ana tofauti gani na wewe unayejilinganisha na Sweden na Island? hiviccm akili zenu zina mavi?Na ndicho anachofanya huyo mama, analinganisha visivyolingana, eti sijui mbona prince Charles kafanya hivi kwa nini na sisi tusifanye, mbona prince Charles anakula nyama ya Nguruwe yeye hali/haruhusiwi ?
ana tofauti gani na wewe unayejilinganisha na Sweden na Island? hiviccm akili zenu zina mavi?
Kutemgwa tayari kushaanza hapo UG na Rwanda pia,ni athari za mapema sana hizi.Ni mambo mazuri aliyo waza Kwa sababu hata usipoweka lockdown uchumi umevurugika tu.
Matokeo ya kuudharau ugonjwa na kuwaaminisha watu wako kwamba hakuna ugonjwa na ukaendelea kuficha vifo hatimae utatengwa na dunia.
Pia kuna wazo linajengwa miongoni mwa wananchi kwamba basi TZ ni nchi yenye thank ya ajabu inayowindwa kila dakika huo ni upuuzi wa kiwango cha juu sana. Hili jambo linajengwa mpk kuhalarisha hata mauaji kwa waTZ wanaoonekana kuhesabiwa siyo wazalendo.
Wanasiasa hawa ndiyo siyo wazalendo... Marais wetu ... Wabunge mpk madiwani ndiyo siyo wazalendo ni wanasiasa ndiyo wauzaji wa rasilimali zetu wahujumu wakubwa.
Janga hili linaelekezwa kwenye siasa uchumi wameuvuruga siku nyingi kesho itakuwa Corona kila kitu.
Wenye kufa ni wananchi endeleeni kubebeshwa mzigo wa madeni yanasababishwa na Kiki za kisiasa hata mkifa wao wanaishi
Sent using Jamii Forums mobile app
Keshakuwa brainwashed huyo mama, anaona Muingereza ndio kipimo cha kila kitu kwa kuwa tu wanamuwezesha kwenda chooni, mbona hasemi kuna za Ulaya kama Swedeni, Island hazijafanya lockdown, Wananchi walikuwa wanajiachia tu zaidi hata Bongo, Bars zote, migahawa, masoko, parks zipo wazi na maambukizi na waliokufa Sweden ni wachache kuliko huko kwa mataahira UingerezaNi wapi nimejilinganisha na Sweden au Island?