Anaandika Zuhura Yunus wa BBC



Lkn bado sijaona sehemu nilipojilinganisha na Sweden au Island, isitoshe nilikuwa napinga alichoandika kwa kumpa mifano mingine ambayo alipaswa kuiongelea pia kwamba kuna nchi hazijafanya lockdown na hawako vibaya sana ukilinganisha na zile zilizofanya lockdown, kama Sweden, Island na hata Taiwani ingawaje wako karibia na China lkn hawakufunga uchumi wao, usichukulie habari katikati, ...
 
Tanzania, hakuna Mrembo kama wewe,
Mnaoiwazia mabaya yatawarudia wenyewe.
 
huyu bidada pound za malkia zimeanza kumlevya naona
alinganisha maisha ya uk na bongo
angekua anatangaza media za bongo angekua anawaza hivi sio?
 
Hahaha yuko wapi Zuhura? Hahahaha
 
Hivi hiyo tabia ya kufananisha kila kitu na wazungu itaisha lini?
 
rubbish
 
Na ndicho anachofanya huyo mama, analinganisha visivyolingana, eti sijui mbona prince Charles kafanya hivi kwa nini na sisi tusifanye, mbona prince Charles anakula nyama ya Nguruwe yeye hali/haruhusiwi ?
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Huyo mama akili hana.. Huo ugonjwa wao wa kubuni utawamaliza wao wenyewe Asituletee propaganda zao Za kimagharibi hapa tz
 
Dedication nyimbo ya CHINDOMAN ft IBRA DAHUSLE NAWAZA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…