Anachofanya Waziri Mkuu sio sawa, sio haki, sio Good Governance! Ni udhalilishaji na kuaibishana!

Mkuu Pasco you are really smart na mwandishi mzuri sana!!! unajaribu kucheza na akili zetu kwa kutufanya WTZ hatuna kumbukumbu eeennhhh! your dead wrong. Tulikuwa tunaambiwa na uongozi uliyopita kuwa una orodha ya wauza unga,wakwepa kodi mpaka orodha ya majangili na tukawa tunalaumu kuwa mbona hatuoni kuchukuliwa hatua yoyote na wala orodha haiwekwi hadharani? nadhani wote ni mashahidi ilifika sehemu Serikali iliambiwa "live" legelege aaaahhh "what an insult" kwa kweli sikuelewi ndiyo maana nimekwambia your very smart labda ulitaka kutupima kumbukumbu zetu basi hatujasahau tupo vitani na elewa "VITA HAINA MACHO"
 

Bossman ushaandaa fagio lako?
 

Wewe ni mbeba maboksi au mganga wa kienyeji!?

Unasema watu wata pretend?...kwenye hizi kazi zetu kuna kitu tunaita target. Na wala target haina usanii wa kusema nita-pretend.

Kwa mfano ikitokea serikali imeweka lengo la makusanyo kutoka bandarini pekee yawe trillion 7 kwa mwaka wa fedha 2016/2017....basi na iwe hivyo...lengo lifikiwe ili huduma itolewe kwa Watanzania...sasa hapo kuna ku-pretend sijui unafanya kazi au hufanyi?

Sisi tuna-deal na results tu. Kama ikitokea hiyo figure (trilion7) haijafikiwa kutokana sijui na rushwa au bandari kukosa ufanisi...basi tunaingia site kwa kushtukiza na kuanza timua timua. Mbona watanyooka tu.

Ndio maana tunasema chuki zako hizo hazisaidii kitu. Zaidi yakuonekana na wewe ulikuwa sehemu ya wale waliokuwa wakifaidi mfumo mbovu.
 

Hamida Malembeka kwani wewe ni kinuka mkojo, mla vumbi, au dada poa?

USA baby
 

Pasco vipi mkuu nawe ni muhanga nini?? Au nduguyo kabanwa???
PM anataka watu wawe na Data sahihi, ndio maana wapo kwenye hizo ofisi ni maproo. Wacha awachangamshe hakuna kurudi nyuma, hapa kazi tuu!!
 
Last edited by a moderator:
watumishivkama hao ndo hatuwataki kabisa; eti kadharirishwa? mbona yeye alikula billion zote hizo bila hata aibu? na bado kwanza alitakiwa afungwe jela kwa kuhujimu uchumi, unakopa 3bil halafu unazilipa mishahara, sasa wewe pasco ndugu yetu unauhakika gani kama kwel hzo 3bil. zote zililipa mishahara; ndo hizo zinaenda kujenda majumba 73 ya afisa 1 wa tra.
 
watumishivkama hao ndo hatuwataki kabisa; eti kadharirishwa? mbona yeye alikula billion zote hizo bila hata aibu? na bado kwanza alitakiwa afungwe jela kwa kuhujimu uchumi, unakopa 3bil halafu unazilipa mishahara, sasa wewe pasco ndugu yetu unauhakika gani kama kwel hzo 3bil. zote zililipa mishahara; ndo hizo zinaenda kujenda majumba 73 ya afisa 1 wa tra. Hivyo ni wakati wao wa kudhalilika kwa yale waliyowafanyia watz. acha wadharirike tu maana wakati wazitumia kununua mavx ya familia zao waliona fahari lkn MUNGU kawaumbua acha wapate mshahara wao wala huna haja ya kuwahurumia otherwise na wewe ni miongoni mwao.
 
Halafu, hao wote si walikuwa kwenye serikali iliyopita?

Manake wanachofanya sasa ni kama kuivua nguo hiyo serikali.

Ina maana walikuwa wanatumikia serikali iliyokuwa imefeli?

mkuu umenifanya nicheke... maana siamini kama uliwaza kabla hujaandika.. kwani wote waliokuwa wakipita kwenye kampeni kutaka uongozi ni wangapi hawakuwahi kuwa kwenye system?? kumbe lowasa angeweza na angekuwa sahihi ila si magufuli na majaliwa
 
mkuu umenifanya nicheke... maana siamini kama uliwaza kabla hujaandika.. kwani wote waliokuwa wakipita kwenye kampeni kutaka uongozi ni wangapi hawakuwahi kuwa kwenye system?? kumbe lowasa angeweza na angekuwa sahihi ila si magufuli na majaliwa

Umewahi kuniona nimesema Lowassa angekuwa sahihi kuliko Magufuli?
 
Fanyani kazi kwa uaminifu na kwa weledi muone kama mtababaika hata akikishtukiza Magufuli mwenyewe. Tatizo mna makando kando yenu ndo maana hamjiamini muda wote mna wasiwasi tu
 
Mkuu Pasco mimi nakubaliana na wewe 100%.

Sina kitufe cha like lakini na zaidi ya like nilitaka kuongeza pesa mbili zangu.

Baaadhi ya hawa watu anaowadhalilisha hadharani mbele ya vyombo vya habari pengine siku za usoni atawahitaji kufanya nao kazi kwa ukaribu sana. Hii dhalila anayoifanya sasa haiashirii mwanzo mzuri.

Magufuli na Majaliwa wamekwisha tuonesha kuwa hawataki mchezo na wana dhamira ya kusafisha serikali. Lakini kuanzia sasa na kuendelea watumie diplomasia kutekeleza azma yao kama ulivyoainisha (mfano - kuwaita watuhumiwa ofisini kwake na huwachamba faragha).
 
Last edited by a moderator:
wangeepuka yote hayo kama wangefanya kazi yao vizuri
 
hakuna ustaarabu hapa kipindi wanavyoiba hizo kontena 2000 hawakuuona ustaarabu
 
Mwaka huu mtaelewa tu, iteni vyovyote,sijui kudhalilishwa,sijui bad governance sie hatujui. Mtanyooshwa sana mwaka huu, tena hiyo mibosi ndo mizuri hiyo, daaaaaadek mtahama nchi mwaka huu
 

Tanzania hatuna neno linalotenganisha Parliament na National Assembly to my knowledge . Vyote tunavichanganya na kuviita "bunge". National Assembly = Bunge, wabunge na Spika. Parliament = National Assembly + President. Sie tunaita yote "bunge".

Magufuli alikuwa na inauguration yake. Watu wamempigia gwaride and all. Wabunge (bunge as in National Assembly) wamekuwa na shughuli yao. Iliyopata funds kutoka kwa public na private sources. Magufuli anabanwa na "checks and balances" kuingilia hiyo shughuli ifanyweje.Labda atumie njia ya kushauriana na Spika.

Kuna yule Mama Beatrice Shelukindo alikuwa anafanya parties zake mwenyewe kutafriji wabunge, alichofanya Magufuli si tofauti sana na kumkataza Beatrice Shelukindo asifanye party ila atumie fedha kusaidia hospitali.
 
Mkuu Pasco Nasubiri upropose njia ya kistaarabu ya kupambana na uharamia...
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Majaliwa piga kazi. Eti details ziko kwa maofisa wangu. Ndo matokeo ya kuwemo ofisin ukipanga madili tu. Hufuatilii huko chini wanaenda je endaje

Kuweni serious na kazi

Mnakaa ofisin mna chat tu kwenu WhatsApp na Facebook huku chini mnasubiri mletewe taarifa tu

Majaliwa amsha hao
 
I think its more of cultural thing than a principle issue which Pasco is troubled with. A working culture that has made the Public Service a joke 'shamba la bibi'...yaani mtu unaharibu kazi unajua, unadanganya ila kwakuwa ni kulindana au kuficha uozo basi uitwe pembeni uambiwe kwa upole. Hivi ndo vitu tunapaswa kuviondoa Serikalini. Taratibu za kazi zipo na kama hazifuatwi katika kuwasimamisha/ kwafukuza hao watu kazi hapo sawa ila ama zinafuatwa...wacha walale nao mbele tu hii nchi imeendeshwa kijinga sana kwa miongo kadhaa! Mtaisoma namba...
 

Mkuu The Boss na Nyani Ngabu, heshima kwenu.

Hamuoni kuwa mnamlalia Magufuli kwa uonevu kweli?

Msukuma wa watu hata mwezi hajamaliza ofisini mnamshutumu kuwa hana mkakati wa long-term. Tusitegemee miujiza toka kwake jamani. I mean, even if the guy is a born-again Christian BUT he doesn't walk on water, nor turn water into wine.

Tumpe muda jamani, isipokuwa huu udhalilishaji hadharani apunguze.
 
Last edited by a moderator:

Well, I am entitled to my opinion.

Pia, mimi nimekuwa mstari wa mbele kuwakumbusha watu humu kukanyaga breki zao kwa sababu mtu hata mwezi hajamaliza lakini wengine tayari wanamwona kama ndo kama kiongozi bora kabis kupata kutokea Tanzania!
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…