Anachokifanya diamond mida hii

Status
Not open for further replies.
Tuambie na kuhusu kuachana na Penny nan anafuata kuziba pengo na haya uwe unatuambiaa ??!!
 
niwepesi sana kufatilia maisha ya masuper star wa europe na kuiga mpaka wanavyoishi.mfano mavazi,swaga, na mengineyo.jamani mbona wenzentu europe hawako hivyo Dimond is our super star and we need to be proud of him.go to nigeria u wil learn something the way they like their home artist.
 
hii nchi kwa tulipofikia kuna mtu anahitaji seriously kufuatilia maisha ya diamond???...tena kwenye jukwaa makini kama jf??kweli??

Sasa ndugu yaan unaonekana hujielew kabisa, kinachonisikitisha kuna watu wamekuwa wakiona wenzao ndo wanakosea zaid kuliko wao, kama wewe umeona Diamond hafai kufuatiliwa kwanini umekua ni miongoni mwa watu walioisoma hyo Post na kucomment wakati unajua kabisa kwa kufanya hivyo na wewe utakuwa umefuatilia maisha yake.
 
"upumbavu ni kipaji,kuna watu wanazaliwa nao".. MWALIMU NYERERE..
 
Tuambie na kuhusu kuachana na Penny nan anafuata kuziba pengo na haya uwe unatuambiaa ??!!

Haahaaa kwa hbr za kuacha na anaefuata veve tafuta mama Halima Kimwana iko fundi bomba ya Almasi hii toto napiga picha 2 habana jua ni km fanyakazi ya ndani.
 

yaambie wewe aisee
afu mijituu hii hii.ndio inanjazia pm kuomba namb na conection za diamond
watanzania bhana
 

unalipwaaaa??
 
coments zako kwangu zoote huwa ni nega tu..sielew una tatizo gan na mm dada...
na hta hatufahamiani

Mi mbona Diamond namkubali sana tu nahitaj kujua kama mshabiki wakee ,leo yupo Mwanzaa ee,hebu niambiee nifanye nin ili nisiww negaa
 
Au tatizo sijakupm tatizo mie sie siuzi suraa wala siimbiii
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…