Anachokitaka mchawi kutoka kwako sio kingine chochote isipokuwa furaha yako. Sababu hizi hapa

Anachokitaka mchawi kutoka kwako sio kingine chochote isipokuwa furaha yako. Sababu hizi hapa

LIKUD

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2012
Posts
18,037
Reaction score
33,681
Mchawi hana shida na wewe kuwa tajiri as long as your not happy with your money ( mfano uugue Maradhi ya kukusosesha furaha: E.g kukufanya ushindwe kusimamisha vizuri, usile baadhi ya vyakula mfano vyakula vyenye chumvi, sukari, usinywe pombe etc)

Mchawi hana shida na wewe mtoto wa kike kuolewa na tajiri as long as hautakuwa na furaha kwenye ndoa.

Hana shida na degree wala masters yako as long as hautakuwa na furaha nayo

Hana shida na kazi yako au biashara yako kufanya vizuri as long as havitakuwa vinakupa furaha.


Anacho kitaka kutoka kwako ni furaha yako.

Kwa nini? 👇👇👇👇👇

Kwa sababu the currency in the realm of the spirit is energy. The higher the energy the richer the person. ( The medium of exchange is energy)

Furaha ( happiness) is the most highest and valuable currency in the realm of the spirits.

Katika ulimwengu wa roho, furaha ndio nishati yenye thamani ya juu kuliko kitu chochote kile.

Wachawi hawanaga furaha kwa sababu hawana nafsi yenye uhai. Nafsi zao zimekufa. Ndio maana hazina uwezo wa kupokea taarifa nzuri kuhusu watu wengine.

Mchawi anapokuona hauna furaha hukasirika na hutamani ile furaha uliyo nayo wewe ihamie kwake, so anacho kifanya ni kufanya kitu kitakacho kuondolea furaha yako. Furaha yako ikitoweka na wewe ukawa na huzuni basi yeye ndio hufurahia nafsi yake. ( Hapo anakuwa amefanya energy exchange)

Sasa basi ukitaka kuwakomesha wachawi( watu wote wenye husda na maisha yako whether unawajua au huwajui) basi wewe endelea kuonyesha furaha hata katika kipindi ambacho wana expect utakua na huzuni. . . Hali huwa inakua mbaya sana kwao kwa sababu ile huzuni waliyo itegemea kuja kwako hua inarejea kwao mara saba. ..

Kwa mfano walifurahi binti mzuri wa jirani Yao alipopata mimba shuleni akapata tena mimba nyingine ya pili baba hajulikani.

Then baadae wakasikia anaolewa na tajiri, wakafanya uchawi na fitna ndoa ika hairishwa siku moja kabla Bwana Harusi akaota mbawa. Watategemea binti awe na huzuni ya kwenda.

Kesho yake akionekana binti yupo na furaha as if nothing has happened na aka maintain kuwa na hiyo furaha basibasi, basi ile huzuni waliyo I anticipate kwa huyo binti itarejea kwao maradufu.

# Hakikisha unakuwa na furaha wakati wote no matter what the circumstances.
 
Kuna wajinga wanapigaga ngoma juu ya bati langu huku wwkimwaga michanga ila kila nikitaka kutoka najikuta napuuza sababu ya usingzi.
Inanishangaza sana sababu usiku huo nayapuuza najiachia kabisa ila ikifika mchana najiuliza huo ujasiri wa kupuuza mambo kama haya nautoa wapi
 
Kuna wajinga wanapigaga ngoma juu ya bati langu huku wwkimwaga michanga ila kila nikitaka kutoka najikuta napuuza sababu ya usingzi.
Inanishangaza sana sababu usiku huo nayapuuza najiachia kabisa ila ikifika mchana najiuliza huo ujasiri wa kupuuza mambo kama haya nautoa wapi
Na leo tunakuja kama kawa. Sisi tuna mambo hayo.
 
Mchawi hana shida na wewe kuwa tajiri as long as your not happy with your money ( mfano uugue Maradhi ya kukusosesha furaha: E.g kukufanya ushindwe kusimamisha vizuri, usile baadhi ya vyakula mfano vyakula vyenye chumvi, sukari, usinywe pombe etc)

Mchawi hana shida na wewe mtoto wa kike kuolewa na tajiri as long as hautakuwa na furaha kwenye ndoa.

Hana shida na degree wala masters yako as long as hautakuwa na furaha nayo

Hana shida na kazi yako au biashara yako kufanya vizuri as long as havitakuwa vinakupa furaha.


Anacho kitaka kutoka kwako ni furaha yako.

Kwa nini? 👇👇👇👇👇

Kwa sababu the currency in the realm of the spirit is energy. The higher the energy the richer the person. ( The medium of exchange is energy)

Furaha ( happiness) is the most highest and valuable currency in the realm of the spirits.

Katika ulimwengu wa roho, furaha ndio nishati yenye thamani ya juu kuliko kitu chochote kile.

Wachawi hawanaga furaha kwa sababu hawana nafsi yenye uhai. Nafsi zao zimekufa. Ndio maana hazina uwezo wa kupokea taarifa nzuri kuhusu watu wengine.

Mchawi anapokuona hauna furaha hukasirika na hutamani ile furaha uliyo nayo wewe ihamie kwake, so anacho kifanya ni kufanya kitu kitakacho kuondolea furaha yako. Furaha yako ikitoweka na wewe ukawa na huzuni basi yeye ndio hufurahia nafsi yake. ( Hapo anakuwa amefanya energy exchange)

Sasa basi ukitaka kuwakomesha wachawi( watu wote wenye husda na maisha yako whether unawajua au huwajui) basi wewe endelea kuonyesha furaha hata katika kipindi ambacho wana expect utakua na huzuni. . . Hali huwa inakua mbaya sana kwao kwa sababu ile huzuni waliyo itegemea kuja kwako hua inarejea kwao mara saba. ..

Kwa mfano walifurahi binti mzuri wa jirani Yao alipopata mimba shuleni akapata tena mimba nyingine ya pili baba hajulikani.

Then baadae wakasikia anaolewa na tajiri, wakafanya uchawi na fitna ndoa ika hairishwa siku moja kabla Bwana Harusi akaota mbawa. Watategemea binti awe na huzuni ya kwenda.

Kesho yake akionekana binti yupo na furaha as if nothing has happened na aka maintain kuwa na hiyo furaha basibasi, basi ile huzuni waliyo I anticipate kwa huyo binti itarejea kwao maradufu.

# Hakikisha unakuwa na furaha wakati wote no matter what the circumstances.
Hili sasa ni somo unatakiwa ulifungulie darasa.

Madini matupu ya kiroho umeyatema mkuu.
 
Kwa mfumo wa maisha ya sasa na gharama kupanda, wachawi wa kufanya tu kukukosesha raha waliisha, materials za uchawi ghali sana, fikiria unanunua ubongo wa fisi laki 5 ukamloge mtu bure?? Au umtoe mwanao kafara ili uue mtu bure tu? Hell no lazima mchawi afanye kwa faida siku hizi! Ukienda kariakoo uliza maduka yanayouza materials uone bei zao ndio utajua uchawi ni investment kwa sasa
 
Kwa mfumo wa maisha ya sasa na gharama kupanda, wachawi wa kufanya tu kukukosesha raha waliisha, materials za uchawi ghali sana, fikiria unanunua ubongo wa fisi laki 5 ukamloge mtu bure?? Au umtoe mwanao kafara ili uue mtu bure tu? Hell no lazima mchawi afanye kwa faida siku hizi! Ukienda kariakoo uliza maduka yanayouza materials uone bei zao ndio utajua uchawi ni investment kwa sasa
Umenifungua ubongo!
Kariakoo kuna maduka yanauza materials za wachawi!
Isee!
 
Umenifungua ubongo!
Kariakoo kuna maduka yanauza materials za wachawi!
Isee!
Hujui mkuu? Kuna mitaa kabisa wanauza materials aina zote za zana na zile adimu ukiweka oda wanakuletea muda unaotaka, kuna zingine ni kama cocaine wanauziana kwa kujuana na kuaminiana kwanza! Ukienda mikoani kuna wachawi waliospecialize kuuza materials tu na kufundisha codes kwa wachawi wanunuzi. Ni business kamili mkuu na hamna mchawi anafanya bure siku hizi. Ukienda hata kwa mganga anakwambia materials na kukuuliza unaleta au akalete mwenyewe umpe fweza za kununulia kabla hajakupa service fees
 
Kama unavyoona kuna mitaa wanauza Tv tu, mingine nguo tu au mbogamboga basi kuna mitaa ya materials za uchawi pia unatafuta chochote na ukikosa kwa mmoja anakwambia nenda kwa fulani na address anakupa hata used na za kukodi pia zipo😀
 
Ulikimbia huku uzi.......

 
Mchawi hana shida na wewe kuwa tajiri as long as your not happy with your money ( mfano uugue Maradhi ya kukusosesha furaha: E.g kukufanya ushindwe kusimamisha vizuri, usile baadhi ya vyakula mfano vyakula vyenye chumvi, sukari, usinywe pombe etc)

Mchawi hana shida na wewe mtoto wa kike kuolewa na tajiri as long as hautakuwa na furaha kwenye ndoa.

Hana shida na degree wala masters yako as long as hautakuwa na furaha nayo

Hana shida na kazi yako au biashara yako kufanya vizuri as long as havitakuwa vinakupa furaha.


Anacho kitaka kutoka kwako ni furaha yako.

Kwa nini? 👇👇👇👇👇

Kwa sababu the currency in the realm of the spirit is energy. The higher the energy the richer the person. ( The medium of exchange is energy)

Furaha ( happiness) is the most highest and valuable currency in the realm of the spirits.

Katika ulimwengu wa roho, furaha ndio nishati yenye thamani ya juu kuliko kitu chochote kile.

Wachawi hawanaga furaha kwa sababu hawana nafsi yenye uhai. Nafsi zao zimekufa. Ndio maana hazina uwezo wa kupokea taarifa nzuri kuhusu watu wengine.

Mchawi anapokuona hauna furaha hukasirika na hutamani ile furaha uliyo nayo wewe ihamie kwake, so anacho kifanya ni kufanya kitu kitakacho kuondolea furaha yako. Furaha yako ikitoweka na wewe ukawa na huzuni basi yeye ndio hufurahia nafsi yake. ( Hapo anakuwa amefanya energy exchange)

Sasa basi ukitaka kuwakomesha wachawi( watu wote wenye husda na maisha yako whether unawajua au huwajui) basi wewe endelea kuonyesha furaha hata katika kipindi ambacho wana expect utakua na huzuni. . . Hali huwa inakua mbaya sana kwao kwa sababu ile huzuni waliyo itegemea kuja kwako hua inarejea kwao mara saba. ..

Kwa mfano walifurahi binti mzuri wa jirani Yao alipopata mimba shuleni akapata tena mimba nyingine ya pili baba hajulikani.

Then baadae wakasikia anaolewa na tajiri, wakafanya uchawi na fitna ndoa ika hairishwa siku moja kabla Bwana Harusi akaota mbawa. Watategemea binti awe na huzuni ya kwenda.

Kesho yake akionekana binti yupo na furaha as if nothing has happened na aka maintain kuwa na hiyo furaha basibasi, basi ile huzuni waliyo I anticipate kwa huyo binti itarejea kwao maradufu.

# Hakikisha unakuwa na furaha wakati wote no matter what the circumstances.
Vipi kuhusu Shule za English Medium je wachawi wanafuraha?
 
Mimi kuna kipindi walikuwa wanakuja kunipigia ngoma usiku!! Walidhani nitakuwa na huzuni!!
Wee mi nikawa na dance migoma yao!!!!
 
Back
Top Bottom