Anachoongea Waziri wa Mambo ya Nje wa Tanzania-Mulamula

Anachoongea Waziri wa Mambo ya Nje wa Tanzania-Mulamula

Huyu mama anaongea live now channel ten, yaani anachoongea sikutegemea kuongelewa na waziri anaongea kama bavicha purely.
Anaponda sana awamu iliyopita sijui ilikua inakwepa mataifa mengine sijui ilikua na matatizo na EU mpaka mabunge yao yakawa yanaongeleka! Yaani full kumponda marehemu duh hii kali
Angalia mpira aisee siasa ya Tanzania utata mtupu.
 
Hivi nyinyi huwa mnamuelewa huyo Mama akiongea? maana akiongea huwa anajichekesha chekekesha tu hata pasipotakiwa kucheka yani haeleweki.
 
Huyu waziri wa mambo ya nje ni mshamba sana, hajiulizi hizo hela za kuweza kuendesha nchi kwa miezi 6 bila makusanyo zimetoka wapi? Tanzania ilifikaje uchumi wa kati?

Mentality ya huyu waziri ni ili Tanzania iendelee lazima tujipendekeze kwa mataifa mengine.
Huyo mama hajitambui! Kwanza ukimkuta amekaa na wazungu anajiona ni mzungu! Completely brain washed! Ni aibu kama taifa lenye watu zaidi ya 60m kuwakilishwa kwenye mambo ga nje na kituko kama hicho!
 
Mama SSH amekataza mitano ya vyama vya siasa. Naye ni dikteta laini, mwendazake alikuwa dikteta uchwara.

Ametumia katiba gani huyu mama kukataza mikutano ya hadhara ya vyama vya siasa??

Anavunja katiba waziwazi, wahariri wanaulizwa kuna lolote wako kimyaaaa! Kwann hawakumuuliza "mama unatumia katiba ya wapi?"
Pale hapakuwa mahala sahihi pa kuongelea Uhuru wa vyama vya siasa kufanya mikutano. Msitake Ku pre empty mambo, kila jambo na wakati wake.
 
Pale hapakuwa mahala sahihi pa kuongelea Uhuru wa vyama vya siasa kufanya mikutano. Msitake Ku pre empty mambo, kila jambo na wakati wake.
Kwani kuna shida gani? Mikutano ya vyama vya siasa siyo madawa ya kulevya hadi aogope kuliongelea pale.

Yeye kama anajipambanua kuwa ni mpenda haki na Uhuru iweje anakataza lililo ndani ya katiba aliyoapa kuilinda?

Huyu muunguja kanikera leo haijapata kutokea.

Dictator jiwe in female clothes.
 
Duh kumbe anatetea tumbo lake? Hapo sawa. Ila asipige kelele wakati wa kule anyamaze
Ktk vitu jushaa alikua hajui yaani ni zero.com ni mambo ya diplomasia,yaani alikua anajua anachowafanyia wakina Mbowe anaweza kuwafanyia na diplomats bila shida yoyote Ile.

Hakika pale kwa shujaa ndipo niliona matunda ya elimu ya hapa na pale.
 
Mama SSH amekataza mitano ya vyama vya siasa. Naye ni dikteta laini, mwendazake alikuwa dikteta uchwara.

Ametumia katiba gani huyu mama kukataza mikutano ya hadhara ya vyama vya siasa??

Anavunja katiba waziwazi, wahariri wanaulizwa kuna lolote wako kimyaaaa! Kwann hawakumuuliza "mama unatumia katiba ya wapi?"
Hakuna waandishi wa habari. Huwezi kuwa na waandishi wa habari ambao Ni failures wa form Four. Takataka zimejikusanya na kujiita waandishi wa habari
 
Back
Top Bottom