Anachoongea Waziri wa Mambo ya Nje wa Tanzania-Mulamula

Angalia mpira aisee siasa ya Tanzania utata mtupu.
 
Hivi nyinyi huwa mnamuelewa huyo Mama akiongea? maana akiongea huwa anajichekesha chekekesha tu hata pasipotakiwa kucheka yani haeleweki.
 
Huyo mama hajitambui! Kwanza ukimkuta amekaa na wazungu anajiona ni mzungu! Completely brain washed! Ni aibu kama taifa lenye watu zaidi ya 60m kuwakilishwa kwenye mambo ga nje na kituko kama hicho!
 
Pale hapakuwa mahala sahihi pa kuongelea Uhuru wa vyama vya siasa kufanya mikutano. Msitake Ku pre empty mambo, kila jambo na wakati wake.
 
Pale hapakuwa mahala sahihi pa kuongelea Uhuru wa vyama vya siasa kufanya mikutano. Msitake Ku pre empty mambo, kila jambo na wakati wake.
Kwani kuna shida gani? Mikutano ya vyama vya siasa siyo madawa ya kulevya hadi aogope kuliongelea pale.

Yeye kama anajipambanua kuwa ni mpenda haki na Uhuru iweje anakataza lililo ndani ya katiba aliyoapa kuilinda?

Huyu muunguja kanikera leo haijapata kutokea.

Dictator jiwe in female clothes.
 
Duh kumbe anatetea tumbo lake? Hapo sawa. Ila asipige kelele wakati wa kule anyamaze
Ktk vitu jushaa alikua hajui yaani ni zero.com ni mambo ya diplomasia,yaani alikua anajua anachowafanyia wakina Mbowe anaweza kuwafanyia na diplomats bila shida yoyote Ile.

Hakika pale kwa shujaa ndipo niliona matunda ya elimu ya hapa na pale.
 
Hakuna waandishi wa habari. Huwezi kuwa na waandishi wa habari ambao Ni failures wa form Four. Takataka zimejikusanya na kujiita waandishi wa habari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…