University_Promo
JF-Expert Member
- Sep 29, 2018
- 749
- 661
Khe....!!!!yamekuwa haya tena....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hata mkiungana na MangeKimabi,Tawile wawili Mshanajr na @HamisaMobetto.Lazima mshindwe tumeaga sisi.View attachment 891876
Amna mkuu Yameisha mwisho ukaja usiku mana Wewe loooKhe....!!!!yamekuwa haya tena....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
RNdugu mtanzagiza hilo kwakweli si lakweli hata kidogo diamond hawezi na hana uwezo wa kuwa mwanasiasa, kwa kila anachokifanya ni ile kufikiria ulipotoka.
.
Mfano bora kabisa unaonihusu mimi nikiombwa pesa ya kula na mtu yeyote ninampa kwanini nampa.
nimepitia hayo nimeshinda njaa sana na watu wa kunisaidia nipate kula walikuepo ila hawakutaka kufanya hivyo hivyo ninaijua njaa vilivyo mtu kama manji unampa kura utegemee akusaidie nini shida hazijui.
.
Diamond ni mmoja wa watu ambae anafanya yote hayo kwa kujua na kutambua nini watu wanapitia, anajipendekeza kwa kina makonda ili asije akaanguka hiyo inaitwa kula na kipofu.
.
Tizama ruge alivyoibeba ile kampeni ya makonda ya kufanya ziara kituo chao kilivyozidi kupata viewers sasa kalikoroga wamemnyea
Brother nisaidie hela ya kula nitaadhilika leoNdugu mtanzagiza hilo kwakweli si lakweli hata kidogo diamond hawezi na hana uwezo wa kuwa mwanasiasa, kwa kila anachokifanya ni ile kufikiria ulipotoka.
.
Mfano bora kabisa unaonihusu mimi nikiombwa pesa ya kula na mtu yeyote ninampa kwanini nampa.
nimepitia hayo nimeshinda njaa sana na watu wa kunisaidia nipate kula walikuepo ila hawakutaka kufanya hivyo hivyo ninaijua njaa vilivyo mtu kama manji unampa kura utegemee akusaidie nini shida hazijui.
.
Diamond ni mmoja wa watu ambae anafanya yote hayo kwa kujua na kutambua nini watu wanapitia, anajipendekeza kwa kina makonda ili asije akaanguka hiyo inaitwa kula na kipofu.
.
Tizama ruge alivyoibeba ile kampeni ya makonda ya kufanya ziara kituo chao kilivyozidi kupata viewers sasa kalikoroga wamemnyea
πππ hauko mubashara na maisha kaka njaa isikie tu kwa jirani, unataka ule nini nikuchukulieR
Brother nisaidie hela ya kula nitaadhilika leo
Wewe unachoKINENA kama mtoto.Una Hakim na unacho KINENA? Nioneshe post za siasa wiki hii
Hajielewi huyo hasituwekee usiku mpe Post za uchawi zilizopita amekariri Siasa tu.Una Hakim na unacho KINENA? Nioneshe post za siasa wiki hii
Mtu ambaye hajui matumizi ya maneno ya kiswahili huwa namuona ni mbumbumbu wa kwanza. Wewe ni mmoja wao. Jifunze kwanza kiswahili kisha uje.Hajielewi huyo hasituwekee usiku mpe Post za uchawi zilizopita amekariri Siasa tu.
Sasa mkuu mwangalie na yeye kiswahili chake.Hapana Annael huna haja ya kupaniki ...wee jibu swali tuu
One sasa mliosomea kiswahili maprofesa wa kiswahili, Mimi kiswahili ulikuwa siyo mtaalamu.Mtu ambaye hajui matumizi ya maneno ya kiswahili huwa namuona ni mbumbumbu wa kwanza. Wewe ni mmoja wao. Kifunze kwanza kiswahili kisha uje.