YE67NBE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2015
- 15,155
- 36,337
Oooh hapo sijui aseew ila picha ninetuma kuakisi hoja ya mleta mada hayo mambo ya kuchomekea sijui aseeMleta mada amedai muhusika huwa analichomekea tumbo ili lisionekane sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Oooh hapo sijui aseew ila picha ninetuma kuakisi hoja ya mleta mada hayo mambo ya kuchomekea sijui aseeMleta mada amedai muhusika huwa analichomekea tumbo ili lisionekane sana
Mungu anisamehe nilimgonga demu ana mimba wiki moja kabla ya kuolewa na jamaa ake..
Sema alinilazimisha kwa kusema tupeane cha mwisho
Orodhesha baadhiwanawake ndo mnashika rekodi ya kufanya vitu vya ajabu na vya kutisha duniani.... [emoji23]
kutoa mimba tu, ni swala zito sana....
Hakika... ndo hivyoOut of topic: ni kweli kua wanawake wajawanene wanakuaga na joto plus zaidi ya wale wasio wajawanene?
End of comment:
Kutoa mimba ni uuaji, je hakuna wanaume wauaji?kutoa mimba tu, ni swala zito sana....
wapo....😂ila bado hujanileta....
vipi kuhusu kukataa wanaume kisa hawana pesa.....
Mbona ni kawaida sana. Kwani nyie hampendi pesa?vipi kuhusu kukataa wanaume kisa hawana pesa.....
hatuzingatii kigezo cha pesa kwenye mahusiano...
Mnazingatia nini?hatuzingatii kigezo cha pesa kwenye mahusiano...
kuna ka-vibe tunaangalia ila nakuhakikishia pesa haimo 😂
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] em kwanza nichekekuna ka-vibe tunaangalia ila nakuhakikishia pesa haimo [emoji23]
unacheka nini na nipo serious mkuu??