Twalyaninkomi
JF-Expert Member
- Oct 31, 2016
- 265
- 259
Pamoja na yote hayo kipindi kibaya kama una tazama sijui niniSalama Jabir ni mbunifu wa hali ya juu sana katika kutangaza sanaa na muziki, ngazi kwa ngazi ni kipindi cha kipekee sana, kwa watu tunaojua nini maana ya Ubunifu tunaelewa kule ambapo Salama anaelekea. Kwa sababu.
1/Hajaiga popote.
(Hakuna Tv station ambayo amewahi kuwa na aina ya kipindi kama kile)
2/Uchaguzi wa nyimbo zake unazingatia ladha mbali mbali za muziki za kila mahali duniani.
3/Ndani ya Kipindi kimoja kuna "Ideas" zaidi ya Kumi zimejificha(Kwa mfano Studio setting, Presentation Style, Music Content, Interview, Song Ranking, Jokes, Modeling, Biographies, Narrations, News, Culture, Lugha ya Kiswahili)..
Kwa kifupi kabisa, kipindi kile kimelenga Kitaifa, kimataifa na Matokeo ya Muda mrefu sana.
Labda wadhamini wanajitokeza kwa wingi ila hawajafikia dau wanalolitakaHajaiga vip mkuu?? Ile sauti inayotumika mbona kaiga B. E. T awards. Fuatilia utajua, binafsi kipindi sijakielewa nadhani hakieleweki that's why hakina mdhamini hata mmoja mpaka sasa. Mkasi b4 haijaanza kilishapata udhamini, but hiki dooh maybe soon or later nitakielewa
Wadhamini wamekataa kudhamini mashudu ya salama,Labda wadhamini wanajitokeza kwa wingi ila hawajafikia dau wanalolitaka
Mi bora nashukuru nakuelewa wewe!sikielewi ht sikiangalii
salama arudishe mkasi
zile track anazocheza mi ndo sijazielewa kabisa yaani. nikaona mpaka wimbo wa kihindi ndaniKumbe tuko wengi ambao hatukielewi nilifikiri ni Mimi peke yangu yaan hiyo miziki yake sijui anaipata wapi
hapo wenye akili kubwa tu ndo watakaoelewaNi ubunifu mzuri sana, in kitu kipya kinacholeta pamoja muziki wa sehemu tofauti za dunia...kama ni Kuona mahojiano ya aina mnayotaka kuna FNL na hata Sauda Mwilima wa Star tv
Mi bora nashukuru nakuelewa wewe!
shamba shape up...Hata shuleni mwalimu mmoja anafundisha somo moja kwa wanafunzi lakini wapo watakaopasua na wengine watatoka kapa.
That's how it works, you just decide and make some efforts to understand.