Anae kielewa kipindi kipya cha salama "ngazi kwa ngazi"

Anae kielewa kipindi kipya cha salama "ngazi kwa ngazi"

Kipindi kinaeleweka sema hakina mzuka, imekua ngumu kidogo kuteka hisia za watu especially wale walio kua wanafuatilia kipindi cha mkasi (mimi nikisa mmoja wapo) lakini hiki nilikiangalia mara kadhaa mpaka nikaacha kabisa kufuatilia kufikia hadi kusahau hua kinarushwa siku gani, waturudishie tu Mkasi wetu
 
Hajaiga vip mkuu?? Ile sauti inayotumika mbona kaiga B. E. T awards. Fuatilia utajua, binafsi kipindi sijakielewa nadhani hakieleweki that's why hakina mdhamini hata mmoja mpaka sasa. Mkasi b4 haijaanza kilishapata udhamini, but hiki dooh maybe soon or later nitakielewa

Au tumuombe akuwekee subtitle labda utaelewa mkuu
 
Back
Top Bottom