Anae kielewa kipindi kipya cha salama "ngazi kwa ngazi"

Anae kielewa kipindi kipya cha salama "ngazi kwa ngazi"

Salama Jabir ni mbunifu wa hali ya juu sana katika kutangaza sanaa na muziki, ngazi kwa ngazi ni kipindi cha kipekee sana, kwa watu tunaojua nini maana ya Ubunifu tunaelewa kule ambapo Salama anaelekea. Kwa sababu.

1/Hajaiga popote.
(Hakuna Tv station ambayo amewahi kuwa na aina ya kipindi kama kile)

2/Uchaguzi wa nyimbo zake unazingatia ladha mbali mbali za muziki za kila mahali duniani.

3/Ndani ya Kipindi kimoja kuna "Ideas" zaidi ya Kumi zimejificha(Kwa mfano Studio setting, Presentation Style, Music Content, Interview, Song Ranking, Jokes, Modeling, Biographies, Narrations, News, Culture, Lugha ya Kiswahili)..

Kwa kifupi kabisa, kipindi kile kimelenga Kitaifa, kimataifa na Matokeo ya Muda mrefu sana.
Pamoja na yote hayo kipindi kibaya kama una tazama sijui nini
 
Hajaiga vip mkuu?? Ile sauti inayotumika mbona kaiga B. E. T awards. Fuatilia utajua, binafsi kipindi sijakielewa nadhani hakieleweki that's why hakina mdhamini hata mmoja mpaka sasa. Mkasi b4 haijaanza kilishapata udhamini, but hiki dooh maybe soon or later nitakielewa
Labda wadhamini wanajitokeza kwa wingi ila hawajafikia dau wanalolitaka
 
moja vipindi vikali sana vya burudani kwa sasa hapa africa mashariki bs ni "ngazi kwa ngazi" kuanzia location yake mpka contents within the kipindi...! kama hukielew bs kaa kimya na sio kulazmisha kupata wanachama wengne wasiokielewa kwa matakwa yako, 9,10 kama sio mtu makini,mpenda burudani na mpenda ubunifu bs huwez kukipenda.
 
Ni ubunifu mzuri sana, in kitu kipya kinacholeta pamoja muziki wa sehemu tofauti za dunia...kama ni Kuona mahojiano ya aina mnayotaka kuna FNL na hata Sauda Mwilima wa Star tv
 
Ni ubunifu mzuri sana, in kitu kipya kinacholeta pamoja muziki wa sehemu tofauti za dunia...kama ni Kuona mahojiano ya aina mnayotaka kuna FNL na hata Sauda Mwilima wa Star tv
hapo wenye akili kubwa tu ndo watakaoelewa
 
Hata shuleni mwalimu mmoja anafundisha somo moja kwa wanafunzi lakini wapo watakaopasua na wengine watatoka kapa.
That's how it works, you just decide and make some efforts to understand.
 
Mi napenda namna anavyotoa stori. Kuhusu miziki iko kimagharibi zaidi.
 
Hata shuleni mwalimu mmoja anafundisha somo moja kwa wanafunzi lakini wapo watakaopasua na wengine watatoka kapa.
That's how it works, you just decide and make some efforts to understand.
shamba shape up...
 
Back
Top Bottom