Hajaiga vip mkuu?? Ile sauti inayotumika mbona kaiga B. E. T awards. Fuatilia utajua, binafsi kipindi sijakielewa nadhani hakieleweki that's why hakina mdhamini hata mmoja mpaka sasa. Mkasi b4 haijaanza kilishapata udhamini, but hiki dooh maybe soon or later nitakielewa