ng`wana ong`wa kulwa
JF-Expert Member
- Mar 14, 2013
- 2,420
- 1,752
Poa mkuu nimekuelewa lakin wewe unafikiria nini kuhusu hii facult ni nzuri au mbaya?
Ni nzuri haina shida kwa maana bado wengi wana piga kazi kama HR officer kokote,ila kwenye hosp.hapewi heshima anayostahili kama anayopewa kwenye taasisi zingine.