Anaejua ilipo Gym ya wanawake watupu mitaa ya Kinondoni A au B anisaidie.

Madame B

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2012
Posts
31,155
Reaction score
35,683
Habari wadau.
Naomba kuuliza, kama kuna member anaejua gym yoyote ya wanawake watupu iliyoko mitaa ya Kinondoni A au B anifahamishe.
Nataka nianze gym maana dawa zote nimemaliza, lakini mwili umesimama palepale.
Asanteni.
 
ha ha ha ha ha poleeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Mimi naijua moja ambayo wanawake wako wawili tu na wanaume wako kama ishirini hivi.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Habari wadau.
Naomba kuuliza, kama kuna member anaejua gym yoyote ya wanawake watupu iliyoko mitaa ya Kinondoni A au B anifahamishe.
Nataka nianze gym maana dawa zote nimemaliza, lakini mwili umesimama palepale.
Asanteni.
Kuwa mkweli bana.
Mie nilikwambia 'Commando'atakuzingua ukanibishia na kuondoka kwa kunisimanga sasa yako wapi?
Na mie nshafunga milango dhidi yako nasubiri tuu muda ufike niweke mambo hadhalani lol!
 
Kama uko serious nipm nikupe contact
 
Kuwa mkweli bana.
Mie nilikwambia 'Commando'atakuzingua ukanibishia na kuondoka kwa kunisimanga sasa yako wapi?
Na mie nshafunga milango dhidi yako nasubiri tuu muda ufike niweke mambo hadhalani lol!

Potea zako hapa.
Kwani bado unanifukuzia CHAI CHUNGU?
Hahaha!
Nauweka mwili fiti, muone kwanza, kumbe kuachwa msiba ee!
Na bado.
 
Last edited by a moderator:
Dozi ya Komandoo imeanza! Lazima kielewekee!
 
Nenda Home boys mwenge karibu na kituo cha daladala
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…