thinky
JF-Expert Member
- Jan 13, 2014
- 2,121
- 264
Hapo kivipi mkuu?
bila hela hutopata mahitaji yako ni lazima uwajibike kuitafuta kwa kupoteza mda na kutokuwa na uhuru ukiikosa ,hutaka utumie mda mpaka uwe na pesa au matokeo ya pesa e.g chakula .bili,nauli,nguo nk
wao wanatucontrol tuwaabudu bila wao ni tabu wao wanastarehe wao ni SHETANI