Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ungeipeleka jukwaa la uchumi na biashara, wachumi wana jinsi yao ya kufafanua hilo. Hii mada itageuka maana sasa hivi, labda kama na wewe ulimaanisha kingine na si kiuchumi.
Sina maana yeyote yakiuchumi mkuu, hii mada ni ya hapa hapa. Swali langu lipo kwenye pesa yenyewe kama pesa (noti) sio uchumi
Hahaha, you are sick.
Mara unaomba msaada, mara sijui kitu.
You need your meds.
Hahahaha haya bana nimekuelewa, navyofahamu mimi hakuna mtu anacontrol idadi ya noti nchi inazoweza kuprint, lakini economic impact ya kuprint makaratasi mengi bila kufanya kazi unaweza kuwauliza Wazimbabwe.
Kwani wewe uvumbuzi wako ni upi mkuu?
Hahaha,
Hivi aliyesema nina uwezo mdogo wa kufikiri ni nani? Si wewe?
Mkuu una kumbukumbu sana,mimi naweza bishana na mtu humu na kesho nisimkumbuke...wachache sana ndo huwa naweza kukumbuka huyu tujadili nini...
kama sio mtu anayecontrol ni nani ?
uchumi!
uchumi is a false cover up just lies dont crame
eleza theory yako sasa tujadili.
ni mzunguko wa makaratasi uliyovishwa thamani na kikundi kimoja cha wapinga kristu chini ya wamiliki wa dhahabu na almasi maana ndo vinathamani wao ndo wanacheza na tarakimu na mahesabu wakipanga matumizi kwa ganda la uchumi kwa lengo la kuwafanyisha kazi watu dunia nzima huku wanaofanya kazi wanapoteza mda na uhuru wao kwa ajili ya pesa lengo ni kuweka dola moja na dunia iwe chini ya kundi moja na watawale
Hahahaa, si mchezo.
Inabidi title ibadilishwe ili tujadili vizuri hii mada. kwa maana hiyo ONE WORLD ORDER imeshatimilika na imefanikiwa, wamerahisisha maisha, tuwapongeze.
Hahahaa, si mchezo.
Inabidi title ibadilishwe ili tujadili vizuri hii mada. kwa maana hiyo ONE WORLD ORDER imeshatimilika na imefanikiwa, wamerahisisha maisha, tuwapongeze.
Habari wana JF,
Naomba kusaidiwa kujua jibu la swali langu, ni vigezo gani vinazingatiwa wakati wa kuchapishwa pesa?
Kwa mfano Tanzania ikitaka idadi ya noti za shilingi 10,000 zichapishwe 1,000,000 ni vigezo au masharti yepi inabidi itimizwe au wanatoa tu idadi ya noti?
Au idadi ya noti za kila nchi ni sawa?
bila hela hutopata mahitaji yako ni lazima uwajibike kuitafuta kwa kupoteza mda na kutokuwa na uhuru ukiikosa ,hutaka utumie mda mpaka uwe na pesa au matokeo ya pesa e.g chakula .bili,nauli,nguo nk
wao wanatucontrol tuwaabudu bila wao ni tabu wao wanastarehe wao ni SHETANI
Kwamfano hela zote (yale makaratasi) yazuiliwe kutumika na kua na thamani kama hivi sasa maisha yatakuaje?
Mkuu huyo ndo Nchabato Machalia......Amejawa na Illusion za lesoni..