Anaejua kuhusu pesa

Anaejua kuhusu pesa

Hii ungeipeleka jukwaa la uchumi na biashara, wachumi wana jinsi yao ya kufafanua hilo. Hii mada itageuka maana sasa hivi, labda kama na wewe ulimaanisha kingine na si kiuchumi.
 
Hii ungeipeleka jukwaa la uchumi na biashara, wachumi wana jinsi yao ya kufafanua hilo. Hii mada itageuka maana sasa hivi, labda kama na wewe ulimaanisha kingine na si kiuchumi.

Sina maana yeyote yakiuchumi mkuu, hii mada ni ya hapa hapa. Swali langu lipo kwenye pesa yenyewe kama pesa (noti) sio uchumi
 
Sina maana yeyote yakiuchumi mkuu, hii mada ni ya hapa hapa. Swali langu lipo kwenye pesa yenyewe kama pesa (noti) sio uchumi

Hahahaha haya bana nimekuelewa, navyofahamu mimi hakuna mtu anacontrol idadi ya noti nchi inazoweza kuprint, lakini economic impact ya kuprint makaratasi mengi bila kufanya kazi unaweza kuwauliza Wazimbabwe.
Kwani wewe uvumbuzi wako ni upi mkuu?
 
Hahaha, you are sick.

Mara unaomba msaada, mara sijui kitu.

You need your meds.

naumwa ugonjwa upi?

sijakuomba msaada nataka nijue on your view how do you see money


kwasababu nilchokuitia huna mda ni vyema ukapotezea


huwa unapata
KUJISHTUKIAPHOBIA


MIND IS MY MED
 
Hahahaha haya bana nimekuelewa, navyofahamu mimi hakuna mtu anacontrol idadi ya noti nchi inazoweza kuprint, lakini economic impact ya kuprint makaratasi mengi bila kufanya kazi unaweza kuwauliza Wazimbabwe.
Kwani wewe uvumbuzi wako ni upi mkuu?

kama sio mtu anayecontrol ni nani ?
 
Hahaha,

Hivi aliyesema nina uwezo mdogo wa kufikiri ni nani? Si wewe?

Mkuu una kumbukumbu sana,mimi naweza bishana na mtu humu na kesho nisimkumbuke...wachache sana ndo huwa naweza kukumbuka huyu tujadili nini...
 
Mkuu una kumbukumbu sana,mimi naweza bishana na mtu humu na kesho nisimkumbuke...wachache sana ndo huwa naweza kukumbuka huyu tujadili nini...

umejuaje kama aliyoyaandika ni ya kweli ?una evidence?

na wewe ni mwenyewe upeo mdogo .


kumbe huwa unabishana
Mada husika unaifahamu au ndo kuonyesha udhaifu kwa migongo ya wengine
 
eleza theory yako sasa tujadili.

ni mzunguko wa makaratasi uliyovishwa thamani na kikundi kimoja cha wapinga kristu chini ya wamiliki wa dhahabu na almasi maana ndo vinathamani wao ndo wanacheza na tarakimu na mahesabu wakipanga matumizi kwa ganda la uchumi kwa lengo la kuwafanyisha kazi watu dunia nzima huku wanaofanya kazi wanapoteza mda na uhuru wao kwa ajili ya pesa lengo ni kuweka dola moja na dunia iwe chini ya kundi moja na watawale
 
ni mzunguko wa makaratasi uliyovishwa thamani na kikundi kimoja cha wapinga kristu chini ya wamiliki wa dhahabu na almasi maana ndo vinathamani wao ndo wanacheza na tarakimu na mahesabu wakipanga matumizi kwa ganda la uchumi kwa lengo la kuwafanyisha kazi watu dunia nzima huku wanaofanya kazi wanapoteza mda na uhuru wao kwa ajili ya pesa lengo ni kuweka dola moja na dunia iwe chini ya kundi moja na watawale

Hahahaa, si mchezo.
Inabidi title ibadilishwe ili tujadili vizuri hii mada. kwa maana hiyo ONE WORLD ORDER imeshatimilika na imefanikiwa, wamerahisisha maisha, tuwapongeze.
 
Hahahaa, si mchezo.
Inabidi title ibadilishwe ili tujadili vizuri hii mada. kwa maana hiyo ONE WORLD ORDER imeshatimilika na imefanikiwa, wamerahisisha maisha, tuwapongeze.

hawajarahisisha wameyashikilia
 
Habari wana JF,

Naomba kusaidiwa kujua jibu la swali langu, ni vigezo gani vinazingatiwa wakati wa kuchapishwa pesa?

Kwa mfano Tanzania ikitaka idadi ya noti za shilingi 10,000 zichapishwe 1,000,000 ni vigezo au masharti yepi inabidi itimizwe au wanatoa tu idadi ya noti?

Au idadi ya noti za kila nchi ni sawa?

Rudi darasani!
 
bila hela hutopata mahitaji yako ni lazima uwajibike kuitafuta kwa kupoteza mda na kutokuwa na uhuru ukiikosa ,hutaka utumie mda mpaka uwe na pesa au matokeo ya pesa e.g chakula .bili,nauli,nguo nk


wao wanatucontrol tuwaabudu bila wao ni tabu wao wanastarehe wao ni SHETANI

Kwa hiyo wewe hautumii pesa.....What a fool..
Unalishwa mavi unakula kisha unakuja kulalamika mavi ni mabaya wakati unabugia...

Hama hii dunia / au kufa kabisa...

Fool kabisa wewe..
 
Kwamfano hela zote (yale makaratasi) yazuiliwe kutumika na kua na thamani kama hivi sasa maisha yatakuaje?

watu watatumia almasi na dhahabu badala ya makaratasi ,thamani itarudi,uhuru na mda wako pia.

Ila haliwezakani system cannot be changed ila improved but zitapotea hapo mbele
 
Mkuu huyo ndo Nchabato Machalia......Amejawa na Illusion za lesoni..

kama wewe ulivyojaa assumptions but not facts?

umejuaje mi msabato?

tuambie we unajua nini?
 
Back
Top Bottom