Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Wanajuana wenywe chadem
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
DanganywaWazee na wao watu
Waambukiza UTI, na sasa hakuna ARV za msaadaMabingwa wa matusi, Mbowe anajua
anakupeleka kileleniAnaejua Lissu anaepeleka wapi chadema atwambie.
Mimi naona giza tu mbeleni
Unadhani kwanini kamuweka karibu ktk chama?Waambukiza UTI, na sasa hakuna ARV za msaada View attachment 3218090
Tulieni dawa iwaingie ndio kwanza amereport ofisini ngojeni watu watoke kwenye retreat kazi zianze mtajua hamjuiAnaejua Lissu anaepeleka wapi chadema atwambie.
Mimi naona giza tu mbeleni
Matusi ndio asili yenu. Mbowe anajuaanakupeleka kileleni
Hahaaa. Mnadanganywa sana tuTulieni dawa iwaingie ndio kwanza amereport ofisini ngojeni watu watoke kwenye retreat kazi zianze mtajua hamjui
Lazima utaona giza ,Malaria sio ugonjwa mzuri, na Trump ameziba misaada ,utakomaAnaejua Lissu anaepeleka wapi chadema atwambie.
Mimi naona giza tu mbeleni
Anaipeleka Chadema shimoni. Hakuna chama kilichowahi kuongozwa na wanaojiita Mawakili Wasomi kikafanikiwa. Mfano ni NCCR- MAGEUZI. Sababu ni kuamini wana akili kumbe ni mangwini wa kukariri tu!Anaejua Lissu anaepeleka wapi chadema atwambie.
Mimi naona giza tu mbeleni
Nyie ccm Mzee wasira anaipeleka wapi? Vyama vya ukombozi vyote viliongozwa na Dam changa,Anaipeleka Chadema shimoni. Hakuna chama kilichowahi kuongozwa na wanaojiita Mawakili Wasomi kikafanikiwa. Mfano ni NCCR- MAGEUZI. Sababu ni kuamini wana akili kumbe ni mangwini wa kukariri tu!
Donald Trump hajamaliza wiki akiwa Rais wa Taifa Kubwa. Unafikiri Waamerika ni Wajinga kumpa Urais?Nyie ccm Mzee wasira anaipeleka wapi? Vyama vya ukombozi vyote viliongozwa na Dam changa,
Changia mada kama huna la kusema uchune!Wewe inakuuma nini? Mnajifanya CCM lakini akili na masikio yote viko CHADEMA
Kuna mada au kuna umbea??Changia mada kama huna la kusema uchune!