Escrowseal1
JF-Expert Member
- Dec 17, 2014
- 4,618
- 4,605
Kuna mambo huwa yanapita bila kuhojiwa japo huwa yanazunguka kwenye vichwa vya watu.
Mojawapo ni jamaa waliounga bomba la mafuta la kigamboni hii issue ni ya uhujumu uchumi japo ni kama iliisha kirahsi rahsi kwa mtazamo wangu. Nitafurahi kama kuna anaejua hili nalo liliishaje.
Ama ukiona hili gumu tujuze tu matokeo ya wale jamaa wa hazina waliojichotea hela kama vile hazina haina mwenyewe nitashukuru.
Mojawapo ni jamaa waliounga bomba la mafuta la kigamboni hii issue ni ya uhujumu uchumi japo ni kama iliisha kirahsi rahsi kwa mtazamo wangu. Nitafurahi kama kuna anaejua hili nalo liliishaje.
Ama ukiona hili gumu tujuze tu matokeo ya wale jamaa wa hazina waliojichotea hela kama vile hazina haina mwenyewe nitashukuru.