Anaejua sakata la jamaa wa Kigamboni waliojiunganishia bomba la mafuta liliishia wapi atujuze

Anaejua sakata la jamaa wa Kigamboni waliojiunganishia bomba la mafuta liliishia wapi atujuze

Kuna mambo huwa yanapita bila kuhojiwa japo huwa yanazunguka kwenye vichwa vya watu.

Mojawapo ni jamaa waliounga bomba la mafuta la kigamboni hii issue ni ya uhujumu uchumi japo ni kama iliisha kirahsi rahsi kwa mtazamo wangu. Nitafurahi kama kuna anaejua hili nalo liliishaje...
Kwa mtazamo wangu,nikukumbushe Kuwa ipo kitu inaitwa plea bargain ,haijamalizika kwa mtindo huo kweli, kama yupo mdau anayeweza kutujulisha kama iliingiamo tuweze kujua zaidi kutokea hapo, ikiwa ni pamoja na bei yake🤔
 
Na wanaojiita waandishi wa habari wala hawana kumbukumbu yoyote.

Wenye magazeti yao na wao habari kama hizi haziuzi kama wanavyoneemeka na wanayoyapata toka serikalini na kwa hao wahujumu wenyewe.

Ni sahihi kabisa na wao kuwajumuisha kwenye kundi hilo la uhujumu.
Huwajui tu, endelea kuchezea sharubu zao,wasipo kuchomoa dirishani na kukurusha nje ya dirisha la jukwaa hili😂😂😂😂
 
"Mama aliupiga mwingi" toka mwanzo na sasa tunaona unavyoendelea kuwa "mwingi"

Nami ningependa kujua yule binti DC aliishia wapi?

Huenda tukijua alipo sasa tunaweza kuanza kujenga hoja juu ya hii mada.

Mkuu 'Escrowseall', nikushukuru kwa kumbukumbu zako hizi. Mimi nilianza kulishangaa hili jambo lilivyochukuliwa toka mwanzo, na kama kawaida ya waTanzania, hakuna alieshtuka, na sasa wala hakuna anayekumbuka kama swala hilo liliwahi kutokea na kunyamaziwa kabisa.

Na pengine hadi leo mradi huo unafanya kazi kama kawaida, maanake hatukuona mabomba yaking'olewa!

Pengine huu ulikuwa ni mradi wa mama mwenyewe, maana alivyolichukua inashangaza sana.

Na haya mahela tunayowapigia kelele akina Mwigulu, si nawe ulisikia "STUPID"?

Hizi ndiyo njia mpya za kushughulikia haya maswala ya uhujumu. Sema neno moja ukionyesha hasira, halafu nyamaza, acha waTanzania wasahau. Ikifika 2025, hakuna atakayekumbuka chochote, hadithi ni za kupamba tu, kama tunavyoona sasa mabango kila sehemu za miji.

Nchi ya ajabu sana hii.
Haya ndugu ✏️,Kalamu na tukupe homework tutafute mwendelezo wa jambo hili ili wote tusiwe wakilalamika na kusahau,ikikupendeza tuanzie na alipo ndugu Dc, ikipendeza na iliyokuwa kamati yake wakati huo.Japo watatupa dira ya uelekeo wa jambo lenyewe🤔
 
Matukio ni mengi, mengine wanayasahau yawezekana kasahaulika na Mahakama
 
Kuna mambo huwa yanapita bila kuhojiwa japo huwa yanazunguka kwenye vichwa vya watu.

Mojawapo ni jamaa waliounga bomba la mafuta la kigamboni hii issue ni ya uhujumu uchumi japo ni kama iliisha kirahsi rahsi kwa mtazamo wangu. Nitafurahi kama kuna anaejua hili nalo liliishaje.

Ama ukiona hili gumu tujuze tu matokeo ya wale jamaa wa hazina waliojichotea hela kama vile hazina haina mwenyewe nitashukuru.
Kalemani alikuwa anataka Hela, bahati mbaya sana yeye ndio akaondolewa kwa kashfa hiyohiyo ya kutaka hela
 
Kuna mambo huwa yanapita bila kuhojiwa japo huwa yanazunguka kwenye vichwa vya watu.

Mojawapo ni jamaa waliounga bomba la mafuta la kigamboni hii issue ni ya uhujumu uchumi japo ni kama iliisha kirahsi rahsi kwa mtazamo wangu. Nitafurahi kama kuna anaejua hili nalo liliishaje.

Ama ukiona hili gumu tujuze tu matokeo ya wale jamaa wa hazina waliojichotea hela kama vile hazina haina mwenyewe nitashukuru.
Project kubwa, kali na hatari kama ile haiwezi kufanywa na mlala hoi.

Ninaaamini kuna mkono wa mtu kutoka kwa wenye mamlaka. Na ninaamini BT na familia yake ndo wahusika kwa 100%. Waliokamatwa ni watekelezaji tu. Lakini masterminder ni wao.
 
Nilimjibu sawa kisha nikaendelea kuandika
Uzuzu wa middle class ndio unaipeleka hii nchi kuzimu, wengi wanakumbuka matokeo ya mechi za mpira miaka zaidi ya 20 iliyopita kuliko issue muhimu za kitaifa, Ile fedha ndefu iliyopigwa kwenye ule mkutano wa Brazil nchi ipo kimya!,ripoti zote za mkaguzi mkuu wa serikali hakuna hata moja iliyokuja clean, royal families wanaendelea kumega mapande makubwa ya pie yetu, kama Mwananchi newspaper imemsahau mwandishi wake wa habari Azory, tutegemee nini?
 
Uzuzu wa middle class ndio unaipeleka hii nchi kuzimu, wengi wanakumbuka matokeo ya mechi za mpira miaka zaidi ya 20 iliyopita kuliko issue muhimu za kitaifa, Ile fedha ndefu iliyopigwa kwenye ule mkutano wa Brazil nchi ipo kimya!,ripoti zote za mkaguzi mkuu wa serikali hakuna hata moja iliyokuja clean, royal families wanaendelea kumega mapande makubwa ya pie yetu, kama Mwananchi newspaper imemsahau mwandishi wake wa habari Azory, tutegemee nini?
Uko sahihi kabisa brother
 
Kuna mambo huwa yanapita bila kuhojiwa japo huwa yanazunguka kwenye vichwa vya watu.

Mojawapo ni jamaa waliounga bomba la mafuta la kigamboni hii issue ni ya uhujumu uchumi japo ni kama iliisha kirahsi rahsi kwa mtazamo wangu. Nitafurahi kama kuna anaejua hili nalo liliishaje.

Ama ukiona hili gumu tujuze tu matokeo ya wale jamaa wa hazina waliojichotea hela kama vile hazina haina mwenyewe nitashukuru.
Nchi makini kiutawala huachw salama unarudisha jax lote na unakula tanzi!! Lkn huku tunaimbishwa nyimbo za uzalendo kikudakuda tu kumbe geresha!!
 
Back
Top Bottom