Fortilo
JF-Expert Member
- Apr 10, 2012
- 5,807
- 17,416
Ndio line hiyo hiyo kiongozi....Hii ya zamani, mwaka Jana au juzi Kuna mjuba alikodisha nyumba nzima kigamboni kwa KAZI hio ya kuiba mafuta
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio line hiyo hiyo kiongozi....Hii ya zamani, mwaka Jana au juzi Kuna mjuba alikodisha nyumba nzima kigamboni kwa KAZI hio ya kuiba mafuta
Mkuu wa kaya wa wakati huo anajua.Kuna mambo huwa yanapita bila kuhojiwa japo huwa yanazunguka kwenye vichwa vya watu.
Mojawapo ni jamaa waliounga bomba la mafuta la kigamboni hii issue ni ya uhujumu uchumi japo ni kama iliisha kirahsi rahsi kwa mtazamo wangu. Nitafurahi kama kuna anaejua hili nalo liliishaje.
Ama ukiona hili gumu tujuze tu matokeo ya wale jamaa wa hazina waliojichotea hela kama vile hazina haina mwenyewe nitashukuru.
Wewe huoni tayari ninatimiza wajibu wangu hapa?Haya ndugu ✏️,Kalamu na tukupe homework tutafute mwendelezo wa jambo hili ili wote tusiwe wakilalamika na kusahau,ikikupendeza tuanzie na alipo ndugu Dc, ikipendeza na iliyokuwa kamati yake wakati huo.Japo watatupa dira ya uelekeo wa jambo lenyewe🤔
Nipo sawa kabisa wala sina shaka juu ya hili.Kalamu upo sawa lkn?
Unajua?Tuendelee kulalamika hadi tuzeeke.
Wajukuu zetu watakuja kuchukua hatua
Mwongo.Mama hausiki ilikuwa enzu za mitano tena
Miaka nenda rudi kigamboni hiyo michongo ipo,na haiwezi kuishaNipo sawa kabisa wala sina shaka juu ya hili.
Wizi ulifanyika wakati wa Magufuli, tukio la kugundulika wizi huo ni wakati wa Samia na wala hakutoa neno lolote kuhusu jambo hilo, hadi leo.
Yaani lilifukiwa kwa maksudi kabisa lisizungumziwe, na kwa kweli ikawa hivyo.
Inaelekea hii ndiyo staili yake ya uongozi. Na ni hivi hivi ndivyo anavyoruhusu nchi kuhujumiwa.
Jambo la namna hii kufukiwa tu, na wala haijulikani kama kuna juhudi zozote za kusitisha wizi huo hadi sasa? Na wala wahusika kutojulikana kabisa?
Hii si kawaida hata kidogo.
Hapana. Haiwezekani kukubaliana dhana yako hii. Kuishi ni kupambana siku zote, 'for or againstMiaka nenda rudi kigamboni hiyo michongo ipo,na haiwezi kuisha
Ova
Sawa mkuu,Wewe huoni tayari ninatimiza wajibu wangu hapa?
Fanya hiyo kazi wewe usiyekuwa na kazi yoyote. Acha uzembe.
Wrong is wrong, even if everyone is doing it. Right is right even if know one is doing!!Miaka nenda rudi kigamboni hiyo michongo ipo,na haiwezi kuisha
Ova
Tena alilipishwa sh 100m! Ukweli ni kubwa yule aliyangulizwa mbele, lakini wahusika wakuu ni kampuni moja yenye vituo vya mafuta nchi nzima ikitumia rangi ya blue.Unamzungumzia Muro sio,
Alilipa Plea bargain akamalizana na serikali