Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Picha imebuma, hatuioni!Picha kama inavyoonekana hapo chini nimehangaika navyo sana,kuna kipindi vilipotea kama miaka 3 nyuma na sikumbuki tena nilitumia nini sababu pia nilihangaika sana lakini saivi naona vimerudi kwa kasi ya 5g.
Ngoja tuisubiliePicha imebuma, hatuioni!
Picha haipoPicha kama inavyoonekana hapo chini nimehangaika navyo sana,kuna kipindi vilipotea kama miaka 3 nyuma na sikumbuki tena nilitumia nini sababu pia nilihangaika sana lakini saivi naona vimerudi kwa kasi ya 5g.
Picha nishaeka japo kwa mbindePicha haipo
Tayari nishaekaNgoja tuisubilie
Chukua majani ya mlongelonge twanga changanya na maji ya ndimu koroga vizuri kisha jipakae mara 3 kwa sikuPicha kama inavyoonekana hapo chini nimehangaika navyo sana,kuna kipindi vilipotea kama miaka 3 nyuma na sikumbuki tena nilitumia nini sababu pia nilihangaika sana lakini saivi naona vimerudi kwa kasi ya 5g.View attachment 3118745
Kuna mafuta ya mgando ya muarubaini,Tumia mafuta hayo.Mpigie 0718553482Picha kama inavyoonekana hapo chini nimehangaika navyo sana,kuna kipindi vilipotea kama miaka 3 nyuma na sikumbuki tena nilitumia nini sababu pia nilihangaika sana lakini saivi naona vimerudi kwa kasi ya 5g.View attachment 3118745
Yanapatikana wapiKuna mafuta ya mgando ya muarubaini,
ahsantVikwangue viwe vinatoka damu,halafu chukua Papai bichi ligonge na kitu mpaka litoe utomvu halafu paka kwenye hivyo vipele,au kata jani la mpapai pale linapokutana na shina litatoa utomvu pakaza hapo kwenye hivyo vidonda,utakuja kunishikuru...
Pole sana mkuu. Ubaya wa haya madude ukiyaacha yanazidi kukuwa na kuongezeka maradufu. Ulishaenda hospitali wakashi dwa kuyatibu mkuu?Picha kama inavyoonekana hapo chini nimehangaika navyo sana,kuna kipindi vilipotea kama miaka 3 nyuma na sikumbuki tena nilitumia nini sababu pia nilihangaika sana lakini saivi naona vimerudi kwa kasi ya 5g.View attachment 3118745
Ugonjwa Unaitwa "Keloids are benign, dermal growths related to previous skin trauma or inflammation. Lesions may develop as early as 1 to 3 months or as late as one year after injury.Picha kama inavyoonekana hapo chini nimehangaika navyo sana,kuna kipindi vilipotea kama miaka 3 nyuma na sikumbuki tena nilitumia nini sababu pia nilihangaika sana lakini saivi naona vimerudi kwa kasi ya 5g.View attachment 3118745
Ulitumia dawa gani kutibu dandruf mkuu?Hata Mimi vinanitesa sana. Nilikua na dandruff nikapona baada ya miaka 6 ila ivi vikaanza.
Mkuu Heshima Yako.Hapo Hosp ndio Jibu Tuu.Pole sana mkuu. Ubaya wa haya madude ukiyaacha yanazidi kukuwa na kuongezeka maradufu. Ulishaenda hospitali wakashi dwa kuyatibu mkuu?