rr4
JF-Expert Member
- Mar 19, 2015
- 3,797
- 5,510
Sulphur 8 inapatikana kwenye maduka ya vipodozi ukipaka Ina kiharufu kizuri ivi na inakua kama inachoma .... Kama nikitumia hiyo asubuhi , jioni nikioga napaka mafuta ya nazi.Ulitumia dawa gani kutibu dandruf mkuu?