Pre GE2025 Anaetaka kumpinga Rais Samia asigombee 2025 anaweza kuja na hoja gani? Anahujumiwa?

Pre GE2025 Anaetaka kumpinga Rais Samia asigombee 2025 anaweza kuja na hoja gani? Anahujumiwa?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Inafahamika kuwa 4Rs zilimnyanyua juu juu juu zaidi kimataifa Rais Samia kwenye nyanja ya demokrasia. Hii inaweza kuwa chanzo cha hasira kwa wale wote waliokuwa wakisema hataweza.

Bwawa limekwisha, SGR anabeba watu, madaraja yanamalizika kujengwa, barabara za mabasi ya haraka vumbi linatimka kila kona Dar es Salaam, kodi ya kistaarabu inakusanywa, mikopo na misaada inamiminika kila uchao, nchi haina njaa, ndege zinaruka na kutua, bandari inachapa lapa, mabasi yanasafiri hata usiku, hospitali tunaziona, umeme unawaka nchi nzima, wanafunzi wanakwenda shule bila kelele za kucheleweshwa mikopo. Atakaepinga asigombee 2025 atasema nini, atadai nini, ataleta hoja gani? Atasema ni mdini? atasema ni mla rushwa? Atasema miradi hakumaliza? atasema ni mwanamke? au atasema ni Mzanzibar?

Critical thinkers watajua kuwa Hakuna serikali inayoteka raia wake hadharani, kuwaua na kuwatupa sehemu za wazi ili watu waone na kuwapandisha hasira. Hakuna kiongozi wa serikali ambae anaweza kusema hadharani kuwa serikali iliingia madarakani kwa kuiba kura na kuengua wapinzani hata kama hayo yalifanyika kweli. Hizi zinawezakuwa hujuma kwa serikali hii ili "aonekane" hafai kimataifa na ndani ya nchi kuelekea 2025, yaani wanamsagia kunguni usoni ili anuke.

Sisi tuliosomea Cuba tutahitaji uchunguzi wa kina kwenye mambo ya nchi badala ya kukimbilia kunyooshea serikali kidole moja kwa moja.
 
....Kodi ya kistaarabu inakusanywa....

Kila siku TRA na wafanyabiashara kuna vita. Migomo imekua mingi kaka lamda haukai bongo
 
Kwahiyo kimsingi unakubali vyombo vya serekali vinafanya haya ya kuteka watu na kadhalika ila isipokuwa tu hoja yako ni kusema mama hausiki sio?
 
Inafahamika kuwa 4Rs zilimnyanyua juu juu juu zaidi kimataifa Rais Samia kwenye nyanja ya demokrasia. Hii inaweza kuwa chanzo cha hasira kwa wale wote waliokuwa wakisema hataweza.

Bwawa limekwisha, SGR anabeba watu, madaraja yanamalizika kujengwa, barabara za mabasi ya haraka vumbi linatimka kila kona Dar es Salaam, kodi ya kistaarabu inakusanywa, mikopo na misaada inamiminika kila uchao, nchi haina njaa, ndege zinaruka na kutua, bandari inachapa lapa, mabasi yanasafiri hata usiku, hospitali tunaziona, umeme unawaka nchi nzima, wanafunzi wanakwenda shule bila kelele za kucheleweshwa mikopo. Atakaepinga asigombee 2025 atasema nini, atadai nini, ataleta hoja gani? Atasema ni mdini? atasema ni mla rushwa? atasema miradi hakumaliza? atasema ni mwanamke? au atasema ni Mzanzibar?

Critical thinkers watajua kuwa Hakuna serikali inayoteka raia wake hadharani, kuwaua na kuwatupa sehemu za wazi ili watu waone na kuwapandisha hasira. Hakuna kiongozi wa serikali ambae anaweza kusema hadharani kuwa serikali iliingia madarakani kwa kuiba kura na kuengua wapinzani hata kama hayo yalifanyika kweli. Hizi zinawezakuwa hujuma kwa serikali hii ili "aonekane" hafai kimataifa na ndani ya nchi kuelekea 2025, yaani wanamsagia kunguni usoni ili anuke.

Sisi tuliosomea Cuba tutahitaji uchunguzi wa kina kwenye mambo ya nchi badala ya kukimbilia kunyooshea serikali kidole moja kwa moja.
Sisi tuliosomea Cuba !
Tumebaki tunasema Hiiiiii 😳 !
Ngoja tuone 😱
 
Hivi wamarekani huwa wanabadilisha viongozi wao kwa kuwa hakuna SGR au mabwawa ya umeme?

Mawazo duni kama haya ndiyo yanayowafanya Viongozi wa CCM wajione Wana akili Sana.
 
....Kodi ya kistaarabu inakusanywa....

Kila siku TRA na wafanyabiashara kuna vita. Migomo imekua mingi kaka lamda haukai bongo
wabongo hawependi kulipa kodo aisei, kule nchi za wengine hata kama ukiuza mbilimbi lazima ulipe kodi. Hapa kwetu kuna mtu anafanya umachinga kwa miaka 27 sasa, halipi kodi. Hata hivyo, sijasikia watu walionyang'anywa au kufungiwa biashara zao eti hawakulipa kodi badala yake nimesikia wanaofunga wenyewe biashara zao.
 
wabongo hawependi kulipa kodo aisei, kule nchi za wengine hata kama ukiuza mbilimbi lazima ulipe kodi. Hapa kwetu kuna mtu anafanya umachinga kwa miaka 27 sasa, halipi kodi. Hata hivyo, sijasikia watu walionyang'anywa au kufungiwa biashara zao eti hawakulipa kodi badala yake nimesikia wanaofunga wenyewe biashara zao.
Ukisema wabongo hawapendi kulipa Kodi utakua unakosea, kariakoo miaka yote aanalipa Kodi. Kilio chao kilikua kodi ya dhuluma iliyoongezwa na TRA. Pia kukamata wateja, Hali iliyofanya biashara kuwa ngumu. Walikua na madai mengi naamini ulifatilia migomo yao yote. Usijitoe akili

TRA wamefunga biashara sana, siiku hizi hadi manispaa nao wanafunga wanapiga utepe mwekundu
 
Ukisema wabongo hawapendi kulipa Kodi utakua unakosea, kariakoo miaka yote aanalipa Kodi. Kilio chao kilikua kodi ya dhuluma iliyoongezwa na TRA. Pia kukamata wateja, Hali iliyofanya biashara kuwa ngumu. Walikua na madai mengi naamini ulifatilia migomo yao yote. Usijitoe akili

TRA wamefunga biashara sana, siiku hizi hadi manispaa nao wanafunga wanapiga utepe mwekundu
awamu ya 6 ina nafuu bhana kwenye mambo hayo kulinganisha na awamu nyingine
 
Hivi wamarekani huwa wanabadilisha viongozi wao kwa kuwa hakuna SGR au mabwawa ya umeme?

Mawazo duni kama haya ndiyo yanayowafanya Viongozi wa CCM wajione Wana akili Sana.
Nenda kawaulize wao. Kwahiyo wao wanabadilisha kwa kuangalia sura za wagombea? Marekani umeenda mbali sana aisei!! Wao wameshamalizana na mambo ya msingi kama maji ya kunywa na kuoga, lakini sisi bado ni agenda.
 
Inafahamika kuwa 4Rs zilimnyanyua juu juu juu zaidi kimataifa Rais Samia kwenye nyanja ya demokrasia. Hii inaweza kuwa chanzo cha hasira kwa wale wote waliokuwa wakisema hataweza.

Bwawa limekwisha, SGR anabeba watu, madaraja yanamalizika kujengwa, barabara za mabasi ya haraka vumbi linatimka kila kona Dar es Salaam, kodi ya kistaarabu inakusanywa, mikopo na misaada inamiminika kila uchao, nchi haina njaa, ndege zinaruka na kutua, bandari inachapa lapa, mabasi yanasafiri hata usiku, hospitali tunaziona, umeme unawaka nchi nzima, wanafunzi wanakwenda shule bila kelele za kucheleweshwa mikopo. Atakaepinga asigombee 2025 atasema nini, atadai nini, ataleta hoja gani? Atasema ni mdini? atasema ni mla rushwa? Atasema miradi hakumaliza? atasema ni mwanamke? au atasema ni Mzanzibar?

Critical thinkers watajua kuwa Hakuna serikali inayoteka raia wake hadharani, kuwaua na kuwatupa sehemu za wazi ili watu waone na kuwapandisha hasira. Hakuna kiongozi wa serikali ambae anaweza kusema hadharani kuwa serikali iliingia madarakani kwa kuiba kura na kuengua wapinzani hata kama hayo yalifanyika kweli. Hizi zinawezakuwa hujuma kwa serikali hii ili "aonekane" hafai kimataifa na ndani ya nchi kuelekea 2025, yaani wanamsagia kunguni usoni ili anuke.

Sisi tuliosomea Cuba tutahitaji uchunguzi wa kina kwenye mambo ya nchi badala ya kukimbilia kunyooshea serikali kidole moja kwa moja.
Acheni mambo ya ajabu ya kuuana hii nchi ni yetu sote, msijione nyinyi ndiyo mna haki zaidi ya raia wengine. Mtufanyie mambo ya ajabu halafu msingizie kuhujumiana.

Mna bahati tu taifa letu ni la upole wa kijinga ila ipo siku itafikia hatua tutauchoka huu ufedhuli mnaotufanyia.
 
Inafahamika kuwa 4Rs zilimnyanyua juu juu juu zaidi kimataifa Rais Samia kwenye nyanja ya demokrasia. Hii inaweza kuwa chanzo cha hasira kwa wale wote waliokuwa wakisema hataweza.

Bwawa limekwisha, SGR anabeba watu, madaraja yanamalizika kujengwa, barabara za mabasi ya haraka vumbi linatimka kila kona Dar es Salaam, kodi ya kistaarabu inakusanywa, mikopo na misaada inamiminika kila uchao, nchi haina njaa, ndege zinaruka na kutua, bandari inachapa lapa, mabasi yanasafiri hata usiku, hospitali tunaziona, umeme unawaka nchi nzima, wanafunzi wanakwenda shule bila kelele za kucheleweshwa mikopo. Atakaepinga asigombee 2025 atasema nini, atadai nini, ataleta hoja gani? Atasema ni mdini? atasema ni mla rushwa? Atasema miradi hakumaliza? atasema ni mwanamke? au atasema ni Mzanzibar?

Critical thinkers watajua kuwa Hakuna serikali inayoteka raia wake hadharani, kuwaua na kuwatupa sehemu za wazi ili watu waone na kuwapandisha hasira. Hakuna kiongozi wa serikali ambae anaweza kusema hadharani kuwa serikali iliingia madarakani kwa kuiba kura na kuengua wapinzani hata kama hayo yalifanyika kweli. Hizi zinawezakuwa hujuma kwa serikali hii ili "aonekane" hafai kimataifa na ndani ya nchi kuelekea 2025, yaani wanamsagia kunguni usoni ili anuke.

Sisi tuliosomea Cuba tutahitaji uchunguzi wa kina kwenye mambo ya nchi badala ya kukimbilia kunyooshea serikali kidole moja kwa moja.
bandiko hili limehit kwenye mshono, ona hao vitimbankwiri wanavyo kanyagana kwa mihemko tu isiyo na maana yoyote..

ni wazi Rais na kipenzi cha waTanzania wote Dr. Samia Suluhu Hassan anafanya uamuzi mgumu kwa kipindi kifupi tu, kwa hatua za makusudi za kimkakati kuhakikisha Tanzania inapiga hatua za kimaendeleo kisiasa kijamii, kiuchumi, kitaifa na kimataifa..

ni wazi Dr.Samia ameliunganisha Taifa na ameifungua nchi kimataifa 🐒
 
Kuna watu huwa wanazaliwa na karama ya uongozi. Sasa ikatokea ukazaliwa, halafu huna hiyo karama; basi mauza uza utakayoyafanya iwapo utaupata huo uongozi kwa bahati mbaya! Yatakuwa siyo ya dunia hii!

Kiufupi utakuwa ni incompetent leader! Na kutokana na u incompetent wako, lazima utaongoza tu kwa mkono wa chuma ili kuficha madhaifu yako.

NB:- haya maelezo yangu hayana uhusiano na mtu yeyote yule. Mimi nimeongelea tu kwa ujumla. Hivyo tusianze kushushana kwa nguvu kwenye mabasi.
 
braza mimi sijalinganisha awamu. nimekukatalia uongo ulioandika
hata ulichoandika wewe ni uongo vilevile. Mama ndiye mtu wa kwanza kupiga marufuku watu kufungiwa biashara na kunyang'anywa mali zao na TRA, kama kuna mtu bado anafanya hivyo ni kwasababu mlipakodi ana shida nyingi nyingine na kodi lazima ilipwe.
 
Acheni mambo ya ajabu ya kuuana hii nchi ni yetu sote, msijione nyinyi ndiyo mna haki zaidi ya raia wengine. Mtufanyie mambo ya ajabu halafu msingizie kuhujumiana.

Mna bahati tu taifa letu ni la upole wa kijinga ila ipo siku itafikia hatua tutauchoka huu ufedhuli mnaotufanyia.
Hata mjukuu wangu akiiba na luramba maziwa ya kopo ya mdogo wake huwa anafuta midomo isionekane na maziwa. Kumteka mtu hadharani na kwenda kumuua na kumtupa sehemu ya wazi mjini haiwezi kuwa ni siasa za vyama vingi. Kuna watu kama akina Azori, Saanane, na wengine mbona hatujawaona mpaka sasa hata maiti zao? Kwanini huyu atekwe hadharani na aokotwe hadharani? Kwanini kumetangulia kuonekana mtu akisema hadharani kuwa CCM haishindi bila wizi na yeye alihusika kikamilifu hata huko maporini akijua kuwa clip itasambaa mitandaoni na kuamsha hasira dhidi ya wananchi wapiga kura? Shida yetu mitaala yetu haifundishi critical thinking.

Inawezekana wako watu wanataka kugombanisha serikali na wananchi au serikali na mataifa ya kidemokrasia duniani. Wahojiwe wapinzani pia kwenye hili la kuvuruga taswira ya nchi kimataifa.
 
bandiko hili limehit kwenye mshono, ona hao vitimbankwiri wanavyo kanyagana kwa mihemko tu isiyo na maana yoyote..

ni wazi Rais na kipenzi cha waTanzania wote Dr. Samia Suluhu Hassan anafanya uamuzi mgumu kwa kipindi kifupi tu, kwa hatua za makusudi za kimkakati kuhakikisha Tanzania inapiga hatua za kimaendeleo kisiasa kijamii, kiuchumi, kitaifa na kimataifa..

ni wazi Dr.Samia ameliunganisha Taifa na ameifungua nchi kimataifa 🐒
Lazima awatafute kwa nguvu zake zooooooote na kuwaadhibu, maana kinadharia huu hauwezi kuwa ni mpango wa serikali yake inayofanya vizuri kiutawala, kiuchumi na kidemokrasia. Kila mtu ni usalama wa taifa ingawa sio ofisa usalama, lazima tushirikiane kuujua ukweli, tusiingie kichwakichwa kuilamu serikali. Kundi hili inawezekana wamo wale waliozuia tamasha la chadema kule Mbeya, waliotoa clips za kuihujumu serikali na CCM na watekaji wa Mzee Kibao.
 
Kwa nini mambo ya maji ya kunywa na kuoga Bado ni ajenda miaka zaidi ya sitini tangu tupate Uhuru.
Swali hilo tungewauliza Mzee Nyerere, Mzee Mwinyi, Mkapa, Kikwete na Magufuli. Maana Mama Samia maji ni moja ya agenda zake kuu, amelivalia njuga.
 
Kuna watu huwa wanazaliwa na karama ya uongozi. Sasa ikatokea ukazaliwa, halafu huna hiyo karama; basi mauza uza utakayoyafanya iwapo utaupata huo uongozi kwa bahati mbaya! Yatakuwa siyo ya dunia hii!

Kiufupi utakuwa ni incompetent leader! Na kutokana na u incompetent wako, lazima utaongoza tu kwa mkono wa chuma ili kuficha madhaifu yako.

NB:- haya maelezo yangu hayana uhusiano na mtu yeyote yule. Mimi nimeongelea tu kwa ujumla. Hivyo tusianze kushushana kwa nguvu kwenye mabasi.
Ni kweli, viongozi wanazaliwa wakiwa viongozi hata wakiwa shule za chekechea utawaona tu wakiongoza watoto waenzao.
 
Back
Top Bottom