Hahahahah sasa atakaa kijijini wakati ana ajira yake WASAFINIHv baba levo kigoma ndo kashahama?
Hahahahah we huwajui wabongo! Tena ndio wataagiza kwa kasi. πππ!Hayo magari watu watayakimbia saivi kodi sio rafiki kabisa
Makampuni ya kuuza magari ya mtumba itabidi wabalance bei ya kununulia kidogo bila hivyo mji utajaa vitz, honda fit na istHahahahah we huwajui wabongo! Tena ndio wataagiza kwa kasi. [emoji23][emoji23][emoji23]!
Najaribu ku imagine huyo raisi ajaye kama atakuwa mtu wa pwani watu tutakulaje bata! Maana hapo alipo anateseka sana kama sisi tunavyohenyeka.
Make TZ Shamba la Bibi again!
Harrier ya baba levo ni hybrid mzeeAah wapi Harrier mpaka Baba levo ananunua! Hamna gari mle
ππππ akipewa hata ili hataki...Hilo Century ni level za Rolls Royce
Toyota unazijua au unazisikia π..Toyota ni kama Tecno...afu Nissan ni infinix
Hata wakibalance haisaidii sababu TRA washaset CIF values zao kwenye kiji system uchwara chao kile.Makampuni ya kuuza magari ya mtumba itabidi wabalance bei ya kununulia kidogo bila hivyo mji utajaa vitz, honda fit na ist
Anaropoka tu, apewe Lexus tu LS350 uone jinsi anavyotepeta bila hata kutomaswa.ππππ akipewa hata ili hataki...
Nazijua vizuri sana mzee...labda Toyota fortuner tu ndio kali...ila zingine zote hamna kitu....Toyota unazijua au unazisikia [emoji846]..
Analowa chepe chepe ππππAnaropoka tu, apewe Lexus tu LS350 uone jinsi anavyotepeta bila hata kutomaswa.
π€£π€£π€£π€£ Mkuu unanichomea utambi sasa..Unataka ununue Vanguard kwa janja janja πππ!
Hebu tafta 35M ili ulipe na kodi ya TRA
Hamna kitu kama icho, ni tako la nyani 240GHarrier ya baba levo ni hybrid mzee
Huzijuia toyota ndio maana umeishi hapo tu kwenye fortuner. Unamiliki benz aina gani hapo ulipo ?Nazijua vizuri sana mzee...labda Toyota fortuner tu ndio kali...ila zingine zote hamna kitu....
Itakuwa Offshore Seamen ndio anataka kulinunuaUtamuuzia nani Generator mkononi? I mean taasisi gani itafanya huo uboya wa kununua generator la mamilioni mkononi?
Huyu mnyama unamchukuliajeAnalowa chepe chepe ππππ
Sina Benz kaka namiliki kigari cha kawaida tu...ila Mungu akijaalia huko mbeleni, bwana magufuli akitoka madarakani, na kodi za TRA zikipungua, tutamiliki gari za heshima mkuuHuzijuia toyota ndio maana umeishi hapo tu kwenye fortuner. Unamiliki benz aina gani hapo ulipo ?
[emoji3][emoji3]kuna wapiga soga flani nimewasikia wakisema ni harrier hybrid....kumbe ni tako la nyani....ila sio mbaya kwa levo yake amejitahidi...Hamna kitu kama icho, ni tako la nyani 240G
Generator uuzaji wake ni usumbufu kwa sababu huwezi kulibeba kichwani kwenda nalo migodini kulitangaza,ila gari hata akitokea mteja mwanza unatia kishoka unawasha ndinga hadi mwanza watu wanaithaminisha wanakupa mkwanja muda huo huoUtamuuzia nani Generator mkononi? I mean taasisi gani itafanya huo uboya wa kununua generator la mamilioni mkononi?
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Eti baba levo,chawa wa wcbAah wapi Harrier mpaka Baba levo ananunua! Hamna gari mle
πππ.. Hicho kitu kinakalisha wazungu kibao.. alafu mtu anakuja na blabla zakeHuyu mnyama unamchukuliajeView attachment 1672671