East Wind
JF-Expert Member
- Jun 17, 2020
- 2,783
- 6,058
Kwani Magu anazui watu kununua magari ?Sina Benz kaka namiliki kigari cha kawaida tu...ila Mungu akijaalia huko mbeleni, bwana magufuli akitoka madarakani, na kodi za TRA zikipungua, tutamiliki gari za heshima mkuu