Anaezifahamu vizuri gari aina ya Toyota Vanguard na Harrier msaada tafadhali

Anaezifahamu vizuri gari aina ya Toyota Vanguard na Harrier msaada tafadhali

Kwani Magu anazui watu kununua magari ?
babu inamana we huoni hali halisi....mtu unanunua gari 10000usd kodi TRA unalipia 15000usd....hapo bado hujaingia nalo road hujakutana na trafik nao wanataka pesa...enzi za jakaya haya mambo hayakuwepo mkuu, ndiomana nasema ngoja magu atoke kwanza madarakani
 
Ukifika paki gari lako getini pale chuo halafu panda juu ya boneti anza kunengua mayenu,kibinda nkoi


Utashitukia warembo wanakuja tu
Ndio ulivyo kuwa unafanya enzi zako eeh ?
 
babu inamana we huoni hali halisi....mtu unanunua gari 10000usd kodi TRA unalipia 15000usd....hapo bado hujaingia nalo road hujakutana na trafik nao wanataka pesa...enzi za jakaya haya mambo hayakuwepo mkuu, ndiomana nasema ngoja magu atoke kwanza madarakani
$25,000 palefu sana
 
Hili dude makini sana sema taa za nyuma ndio wamefeli
Hii machine ukiingiza pisi kali, inalowa enyewe tu.. hata kama alikuwa mgumu kama kokoto

images.jpeg


images.jpeg


images (2).jpeg
 

Attachments

  • images (1).jpeg
    images (1).jpeg
    32.1 KB · Views: 17
Umenifungua akili kaka . "Why iwe rahisi kuachia gari linalozidi thamani pesa nazodai afu iwe ngum kunilipa cash?". huenda naachiwa msala kaka .

Lakini pia, Ivi inawezekana gari likaingia nchini toka 2018 mwishon lika fuction mpaka leo bila kulipiwa kodi kweli?
Kuna gari zinakuwa na exemption utakapozihamishia kwenye umiliki binafsi lazima ulipie kodi

Pia kuna gari zinasajiliwa kibiashara ukizipeleka umiliki binafsi unalipia na kama wana deni inabidi kuclear
 
Back
Top Bottom