Habari: Wakuu kuna "Kampuni" moja ya kigeni nimekuwa nikifanya nayo kazi kwa vipindi tofauti kila wanapopata tenda hapa Tz. Sasa kuna mradi wamemaliza na juzi wamekabidhi kwa mafanikio makubwa huku wakipew big" YES" na Wizara husika.
Sasa kuna kiasi flan cha Pesa bado nawadai but hawataki kunipa cash.
wanasema nichague waniachie gari moja kati ya hizo mbili. Sasa nimewaza nikilazimisha pesa2 ntakosa vyote mana ni muda tunasumbuana. Nimeona niombe Wataalam wa Magari mnijuze Thamani ya gari hizo, ubora, utumiaji wa mafuta na ipi nichukue kati ya hizo,?. Kwa harakaharaka Gari hizo walikuja nazo bado mpya na zimetumika miaka 2 na miezi3 na siku 17. kiasi nachowadai ni km Usd 6230. Je ni ipi nikichukua kati ya hizo gari nikiuza hata kwa bei ya hasara nitarudisha pesa yangu.
View attachment 1671543View attachment 1671544View attachment 1671546View attachment 1671552