Kwani Magu anazui watu kununua magari ?Sina Benz kaka namiliki kigari cha kawaida tu...ila Mungu akijaalia huko mbeleni, bwana magufuli akitoka madarakani, na kodi za TRA zikipungua, tutamiliki gari za heshima mkuu
Ukifika paki gari lako getini pale chuo halafu panda juu ya boneti anza kunengua mayenu,kibinda nkoiEbu nipe mbinu chief! Ukifika kwenye hivyo vyuo unafanyaje ?
babu inamana we huoni hali halisi....mtu unanunua gari 10000usd kodi TRA unalipia 15000usd....hapo bado hujaingia nalo road hujakutana na trafik nao wanataka pesa...enzi za jakaya haya mambo hayakuwepo mkuu, ndiomana nasema ngoja magu atoke kwanza madarakaniKwani Magu anazui watu kununua magari ?
Ndio ulivyo kuwa unafanya enzi zako eeh ?Ukifika paki gari lako getini pale chuo halafu panda juu ya boneti anza kunengua mayenu,kibinda nkoi
Utashitukia warembo wanakuja tu
$25,000 palefu sanababu inamana we huoni hali halisi....mtu unanunua gari 10000usd kodi TRA unalipia 15000usd....hapo bado hujaingia nalo road hujakutana na trafik nao wanataka pesa...enzi za jakaya haya mambo hayakuwepo mkuu, ndiomana nasema ngoja magu atoke kwanza madarakani
Hii machine ukiingiza pisi kali, inalowa enyewe tu.. hata kama alikuwa mgumu kama kokotoHili dude makini sana sema taa za nyuma ndio wamefeli
SawaToyota hata bure hutaki ! Mbongo raha sanaaa kwa kuvimba
Humu umeme tuHii machine ukiingiza pisi kali, inalowa enyewe tu.. hata kama alikuwa mgumu kama kokoto
View attachment 1672908
View attachment 1672908
View attachment 1672912
Unashindwaje kupata mtoto mzuri una gari ?Ebu nipe mbinu chief! Ukifika kwenye hivyo vyuo unafanyaje ?
Na nguvu pia imo kumbuka hiyo ni V12 mzee baba... wale wazee wa vibaba hapa mwiko😀😀😀Humu umeme tu
Akikataa noma sanaaa 😃😃😃Unashindwaje kupata mtoto mzuri una gari ?
Nenda vyuoni ita mtoto mzuri mwambie jioni Unampeleka dinner ajiandae utampitia usiku. Hahahaha halafu ibuka na chuma yako ...
Jf ina raha sana😂😂Vanguard kitu mwake [emoji122] japo mi toyota brand hata bure sitaki [emoji36]
Dude la watu wa Upanga, Masaki na O'bey.Hii machine ukiingiza pisi kali, inalowa enyewe tu.. hata kama alikuwa mgumu kama kokoto
View attachment 1672908
View attachment 1672908
View attachment 1672912
Nissan MarchMfyuuu eti suzuki[emoji57][emoji57][emoji57]
Naangali hii gari wanaunda ili ipae au ikimbie kwenda wapi 😃😃Hilo Century ni level za Rolls Royce
Aaaah, Kuna watu binafsi na kampuni wananunua bila wasiwasi.Itakuwa Offshore Seamen ndio anataka kulinunua
Chukua Vanguard pitia TRA angalia kama gari ina deni lolote umalizane naoHapana but kutoa Cash imekuwa ngum ko kuna mali zao nyingi wanaziuza ndo wakanipa hilo wazo otherwise niendelee kusubiri (mana ndo lugha yao)
Kuna gari zinakuwa na exemption utakapozihamishia kwenye umiliki binafsi lazima ulipie kodiUmenifungua akili kaka . "Why iwe rahisi kuachia gari linalozidi thamani pesa nazodai afu iwe ngum kunilipa cash?". huenda naachiwa msala kaka .
Lakini pia, Ivi inawezekana gari likaingia nchini toka 2018 mwishon lika fuction mpaka leo bila kulipiwa kodi kweli?
wamekaririshwa mkuu..... japo kuna vanguard ya 3.5L kama sijakosea.Hahahah cha ajabu hizo gari tofauti ni kasha tu ila engine ni ile ile,cha zaidi Vanguard inakuwaga na 4WD!
Engine ni 2AZ-FE ya 2349cc ama 2.4L sasa sielewagi huo unafuu wa kula mafuta unatoka wapi baina ya gari mojawapo katika hizi?
Unaposema 'ko' unamaanisha 'so'?Shukrani kaka. me siyajui sana magari ko kuna fundi nimemleta kuzikagua anasema bado nzima na hazijabadilishwa kifaa chochote cha ndani ukiacha cover za sit