Hapa tena naona umeandika 'ko'.Sina chakukulipeni Wakuu. mmenifungua vizuri sana. Ko ili nijue kama limelipiwa au lina exemption pa bila wao kujua nifanyeje? nikienda Tra na plt number wanaweza niangalizia au njia gani nitumie?
Kizazi cha laana kinawaza ngono tuuuUkiwa na chombo kama hiki, mtoto akiingia ndani analowa mwemyewe tu.. ππ
Extrovert Mazigazi
View attachment 1672403
Haya kwetu siku hizi tunabebea abiria 7000 tuu arusha to namangaHabari: Wakuu kuna "Kampuni" moja ya kigeni nimekuwa nikifanya nayo kazi kwa vipindi tofauti kila wanapopata tenda hapa Tz. Sasa kuna mradi wamemaliza na juzi wamekabidhi kwa mafanikio makubwa huku wakipew big" YES" na Wizara husika.
Sasa kuna kiasi flan cha Pesa bado nawadai but hawataki kunipa cash.
wanasema nichague waniachie gari moja kati ya hizo mbili. Sasa nimewaza nikilazimisha pesa2 ntakosa vyote mana ni muda tunasumbuana. Nimeona niombe Wataalam wa Magari mnijuze Thamani ya gari hizo, ubora, utumiaji wa mafuta na ipi nichukue kati ya hizo,?. Kwa harakaharaka Gari hizo walikuja nazo bado mpya na zimetumika miaka 2 na miezi3 na siku 17. kiasi nachowadai ni km Usd 6230. Je ni ipi nikichukua kati ya hizo gari nikiuza hata kwa bei ya hasara nitarudisha pesa yangu.
View attachment 1671543View attachment 1671544View attachment 1671546View attachment 1671552
Kizazi cha laana kinawaza ngono tuuuuUkifika paki gari lako getini pale chuo halafu panda juu ya boneti anza kunengua mayenu,kibinda nkoi
Utashitukia warembo wanakuja tu
Sawa kizazi cha nyoka shetaniKizazi cha laana kinawaza ngono tuuu
Inabidi ucheki na TIN ya muuzaji kama hana deni, kama ana deni wanasumbua transferChukua Vanguard pitia TRA angalia kama gari ina deni lolote umalizane nao
Kwa nini hutaki toyota?Vanguard kitu mwake [emoji122] japo mi toyota brand hata bure sitaki [emoji36]
Halafu hajui kutongoza anataka afundishweKiza
Kizazi cha laana kinawaza ngono tuuuu
MtaalamAchana na tako la nyani mkuu linakunywa mafuta kama shetani.
Halafu kuwa makini kama ambavyo wadau wanavyoainisha hapo juu kuhusu kodi. Magari ya miradi husamehewa kodi ila matumizi yakibadilika basi. Kwann wakuachie kirahisi hivyo
[emoji28][emoji28][emoji28] ndio boss.Mtaalam
Sasa ile gari si ni pick up iliyofunikwa tu?Nazijua vizuri sana mzee...labda Toyota fortuner tu ndio kali...ila zingine zote hamna kitu....
Da kweli muha ni muha aiseee.Hamna kitu kama icho, ni tako la nyani 240G
hapo ajiandae na kodi isiyopungua 10M ambayo nayo inaeza kuzidiKuna miradi inapataga misamaha ya kodi ya kuingiza vifaa vya miradi.vifaa hivyo vikuzwa anaye nunua anatakiwa kulipia ile kodi iliyosamehewa kwa thamani ya kile kitu kwa wakati kinauzwa.
Hivyo kama hayo magari yalipata msamaha wakati wa manunuzi,jua ukinunua utatakiwa kulipia kodi,kwa sababu madhumuni ya gari yanakuwa yamebadilika kutoka kuwa la mradi na kuwa la mtu binafs
we mwamba kumbe upo bado dunianiHapo unaingizwa Cha kike. Hupati Gari Wala cash
Ulidhani COVID imepita na mm?we mwamba kumbe upo bado duniani
muha we msng πππDa kweli muha ni muha aiseee.
πππππ baba levo mzee baba,si ni wa kigoma yule?ππππHahahahah nani
muha we msng πππ
Hahahah wanajiitaga wamanyema kuua soo ila wote waha tu ππππππππ baba levo mzee baba,si ni wa kigoma yule?ππππ
ππππ hahah naona mzee hutaki kufananishwa na wala mawese.Hahahah wanajiitaga wamanyema kuua soo ila wote waha tu πππ
Harrier mnabebea abiria?