Anaezifahamu vizuri gari aina ya Toyota Vanguard na Harrier msaada tafadhali

Anaezifahamu vizuri gari aina ya Toyota Vanguard na Harrier msaada tafadhali

Hapo unaingizwa Cha kike. Hupati Gari Wala cash
Hapana gari nazimiliki mwenyewe ndo mana wanasema waniachie gari moja mana baada ya kuwa wamekabidhi mradi na wapo wauza vitu nikajua kabisa naachwa kwenye mataa ko nacheza nazo 24hours
. Hofu yangu ni kama walivyosema wadau kuwa huenda zikawa hazijalipiwa kodi nikaachiwa msala
 
Unawadai 6230usd ambayo kwa haraka haraka ni kama 15M hivi....bei ya vanguard mzee kwasasa ni kuanzia 30M na kuendelea.....Chukua Vanguard hiyo....uza ata kwa 25M unakuwa umerudisha pesa yote unayowadai na faida juu.....

Afu ukishauza hiyo vanguard unicheki PM nikupeleke bar yenye mademu wakali[emoji3][emoji3]
 
Unawadai 6230usd ambayo kwa haraka haraka ni kama 15M hivi....bei ya vanguard mzee kwasasa ni kuanzia 30M na kuendelea.....Chukua Vanguard hiyo....uza ata kwa 25M unakuwa umerudisha pesa yote unayowadai na faida juu.....

Afu ukishauza hiyo vanguard unicheki PM nikupeleke bar yenye mademu wakali[emoji3][emoji3]
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] Sawa kaka ntakustua
 
Achana na tako la nyani mkuu linakunywa mafuta kama shetani.
Halafu kuwa makini kama ambavyo wadau wanavyoainisha hapo juu kuhusu kodi. Magari ya miradi husamehewa kodi ila matumizi yakibadilika basi. Kwann wakuachie kirahisi hivyo
 
Achana na habari za hayo magari, kama hiyo taasisi ilikuwa kubwa basi naamini waliokuwa na Emergency Generator kubwa. Wewe komaa wakuachie hiyo jenereta kubwa maana wao huwa wananunua zikiwa mpya na Kwa miaka 2 itakuwa na Masaa machache iliyofanya kazi.

Na hutopata tabu kuliuza maana thamani yake sokoni kubwa,hakuna maswala ya Kodi, risk za ajali.
Pambana upate mtambo wowote au mashine hutojutia uamuzi.
 
Achana na habari za hayo magari, kama hiyo taasisi ilikuwa kubwa basi naamini waliokuwa na Emergency Generator kubwa. Wewe komaa wakuachie hiyo jenereta kubwa maana wao huwa wananunua zikiwa mpya na Kwa miaka 2 itakuwa na Masaa machache iliyofanya kazi.

Na hutopata tabu kuliuza maana thamani yake sokoni kubwa,hakuna maswala ya Kodi, risk za ajali.
Pambana upate mtambo wowote au mashine hutojutia uamuzi.
Nisahihi unachosema kaka but story ipo iv: tar 14 Mwezi Desember wamekabidhi mradi baada ya hapo wakatuambia (watu wachache tunaowadai) kuwa Wanasubiri wamaliziwe % zilizobakia za malipo watupe. Sasa kimya kikatanda kufuatilia tukaambiwa washalipwa sasa kilichokuja kutushtua wakaanza kuvunja Kambi na Baadhi ya vifaa wakawa wanawauzia makampun mengine ya hapa bongo na watu binafsi likiwemo hilo Generetor .

Kwa upande wangu hizo Gari mbili kipindi tunagundua ndio niko nazo ko nikazuwia mpaka wanipe pesa so ndo wakaja na hiyo hoja kuwa nibaki na moja niwape moja. Na hata hivyo walianza kusema niongezee pesa wawe wameniuzia nikajibu me Sio mteja wa magari me nataka changu nikawa mkali na nikawatishia watanilipa fidia ya usumbufu ndo wakasema basi chagua moja
 
Unawadai 6230usd ambayo kwa haraka haraka ni kama 15M hivi....bei ya vanguard mzee kwasasa ni kuanzia 30M na kuendelea.....Chukua Vanguard hiyo....uza ata kwa 25M unakuwa umerudisha pesa yote unayowadai na faida juu.....

Afu ukishauza hiyo vanguard unicheki PM nikupeleke bar yenye mademu wakali[emoji3][emoji3]
Kumbe ni kweli Unavuta bangi!!
 
Back
Top Bottom