Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Sio milioni 50 ila hiyo pesa hata mpishi wa TANESCO wa certificate analipwaWanamlipa million 50 kwa mwezi au sio ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio milioni 50 ila hiyo pesa hata mpishi wa TANESCO wa certificate analipwaWanamlipa million 50 kwa mwezi au sio ?
Million ngapi analipwa mpishi wa ubalozini million 5 ?Sio milioni 50 ila hiyo pesa hata mpishi wa TANESCO wa certificate analipwa
Nani kakwambia mimi ni mpishi?? Nimecomment kitu ninachokijua. Upishi kwenye Diplomatic house kwa mshahara huo ni unyonyaji. Tatizo hivi vitu hamjui mnakimbilia kuchangia uzi.Huna sifa, acha visingizio
Ubalozi hamna paye kwa navyojua lakini, wapo exemptedHuko hakuna makato ya PAYE,Income tax etc?
Maana kama hiyo ndiyo basic basi take home kama ni teacher inakuwa pesa mbuzi tu.
Kwa teacher wa cheti grade 3A huo mshahara basic anaupata kuanzia TGTS D1
All the best.
Ndio hivyo babu!!Hapa kuna harufu ya utapeli.
Wazungu wa uingereza hawawezi kumlipa mtu mwenye diploma milioni moja.
Za kuambiwa changanya na zako.
Yaani mtumishi mwenye Diploma wa NEC amzidi mshahara mtumishi mwenye Diploma wa ubalozi wa Uingereza?
Tena ya Moto kabisa.Fursa kwa wapishi.
Mkuu hujaeleweka, hebu iweke sawa.Huko hakuna makato ya PAYE,Income tax etc?
Maana kama hiyo ndiyo basic basi take home kama ni teacher inakuwa pesa mbuzi tu.
Kwa teacher wa cheti grade 3A huo mshahara basic anaupata kuanzia TGTS D1
All the best.
Aisee hii kamba hii.Sio milioni 50 ila hiyo pesa hata mpishi wa TANESCO wa certificate analipwa
Kama unajua kupika apply Mkuu, utakuja nishukuru Baadae.Sijui niapply japo sijasomea upishi[emoji3][emoji3][emoji3]
Tujulishe basi wewe ujuaye??Nani
kakwambia mimi ni mpishi?? Nimecomment kitu ninachokijua. Upishi kwenye Diplomatic house kwa mshahara huo ni unyonyaji. Tatizo hivi vitu hamjui mnakimbilia kuchangia uzi.
AhahahaAisee hii kamba hii.
Ujue graduate wa Mlimani Education starting salary yake bado haijasoma 1M?
Kusonga ugali si unaweza we apply tuSijui niapply japo sijasomea upishi[emoji3][emoji3][emoji3]
Sawa.Mkuu hujaeleweka, hebu iweke sawa.
Hapo inakatwa NSSF tu.
So mdau mpishi akipata na posho kila mwezi uhakika ni 1.4M Miezi mingine inapanda zaidi.
Nilikuwa na chat na Mpishi anayemaliza muda wake hapo ndio kanipa huo mchongo.
Sasa ulimaanisha mpunga kwa Maticha ni mkubwa zaidi ama??
superSawa.
Namaanisha Mwalimu mwenye Basic salary ya 1M anakuwa na take home pesa ya kawaida sana sababu ya wingi wa makato.(Income tax,PAYE,PSSSF,CWT,NHIF etc)
Fungua tena!!Hyo website mbona haifunguki