Anahitajika msichana/mwanamke kwa ajili ya IVF

Wee hiyo cell moja ni DNA yangu yani it's a piece of me, na nature isivyo na adabu huyo mtoto atatoka copy yangu kabisa
Sasa mkuu mbona unanyoa nywele na kukata kucha kutupa jalalani, hizo sio DNA zako?
Haujui hata ukilia au kutema mate unatupa DNA zako?

Its not that big of a deal
 

Nikitaka na apply wapi[emoji23][emoji23]
 
Umenikumbusha tamthilia ya kifilipino, 'her mother's daughter'
Huyo mdada akizaa mapacha inakuwaje?
Imeandikwa watoto... hivyo tegemea kuzaa watoto wawili na zaidi... nazani imerejelewa ktk uandishi wake mara kadhaa
 
Mie nikafupi halafu fuata ushauri wangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…