Mtanzatozo
JF-Expert Member
- Mar 2, 2016
- 971
- 1,165
Kaka nina binamu yangu choka mbaya/alosto yupo hapo Gongo la Mboto. Kazi yoyote anafanya. Naomba namba yako ya simu.HABARI WAPENDWA! NNA NDUGU YANGU ALIPATA AJALI NA FAMILIA YKE! KWA UFUPI TU ANAHITAJI MTU WA KUMSAIDIA MTOTO WAKE WA UMRI WA MIAKA NANE, AMEVUNJIKA NA HAJITAMBUI ANAHITAJI MTU WA KUMHUDUMIA WA KIUME KWA KIPINDI CHA WIKI MBILI
MALIPO YA SIKU NI ELFU KUMI. 10000/
Nimeumia maskini kwa huyo mtoto...yaan ningekuwa dar ningekusaidia hadi atoke for free...polen sanaHABARI WAPENDWA! NNA NDUGU YANGU ALIPATA AJALI NA FAMILIA YKE! KWA UFUPI TU ANAHITAJI MTU WA KUMSAIDIA MTOTO WAKE WA UMRI WA MIAKA NANE, AMEVUNJIKA NA HAJITAMBUI ANAHITAJI MTU WA KUMHUDUMIA WA KIUME KWA KIPINDI CHA WIKI MBILI
MALIPO YA SIKU NI ELFU KUMI. 10000/
Mkuu usihukumu ...ndugy ni zaidi ya uwajuavyoInavyoonekana hiyo familia yenu haina mahusiano mazuri na ndugu zenu. Haiwezekani familia nzima akosekane wa kuuguza mgonjwa.
Yaan yana changamoto mno ..dah ..Pole sana mkuu,Maisha haya hana changamoto zake,mungu akujaalie wepesi
Yote yanawezekana mkuu.Mkuu usihukumu ...ndugy ni zaidi ya uwajuavyo
Kwa mtu asiye na kazi haulizi details hizo zote. Hata ingekua kuosha mgonjwa sawa tu.mkuu haujaeleweka.unahitaji mtu wa kumhudumia mtoto aliyevunjika ama kukaa na huyo mtoto wa miaka nane?
Sijaulizia kwa mtu mwenye shida ya kazi nimeulizia kupata details pengine anaweza kupata msaada zaidiKwa mtu asiye na kazi haulizi details hizo zote. Hata ingekua kuosha mgonjwa sawa tu.
**Njaa isikie kwa watu tu
Weka namba kwenye PM tumsaidie mdogo wetu.HABARI WAPENDWA! NNA NDUGU YANGU ALIPATA AJALI NA FAMILIA YKE! KWA UFUPI TU ANAHITAJI MTU WA KUMSAIDIA MTOTO WAKE WA UMRI WA MIAKA NANE, AMEVUNJIKA NA HAJITAMBUI ANAHITAJI MTU WA KUMHUDUMIA WA KIUME KWA KIPINDI CHA WIKI MBILI
MALIPO YA SIKU NI ELFU KUMI. 10000/