babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 14,478
- 18,341
Pole sana utapata tu mtu Mkuu, hapa hapa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂 😂Kwa mtu asiye na kazi haulizi details hizo zote. Hata ingekua kuosha mgonjwa sawa tu.
**Njaa isikie kwa watu tu
Ndio baba mwenye mtoto au??Mcheck huyu, yupo hapo hapo Muhimbili 0625543419
Hapana nampa mtu wakumsaidia huyo mtoto ana shughuli yake hapo hapo, atamsaidia nadhani.Ndio baba mwenye mtoto au??
Upendo wa kweli huu.? Au upendo wa maandishi...?Nimeumia maskini kwa huyo mtoto...yaan ningekuwa dar ningekusaidia hadi atoke for free...polen sana
Unanifahamu?Upendo wa kweli huu.? Au upendo wa maandishi...?
Achana nae huyo ngoja nimsubiri jamaa nikamsaidie kijana upendo tu huu.Unanifahamu?
Mkuu ni pm basi tuone tunamsaidiaje kijana huyoHabari wapendwa,
Nina ndugu yangu alipata ajali na familia yae! Kwa ufupi tu anahitaji mtu wa kumsaidia mtoto wake wa umri wa miaka nane, amevunjika na hajitambui anahitaji mtu wa kumhudumia wa kiume kwa kipindi cha wiki mbili.
Malipo ya siku ni elfu kumi. 10000/
Mbona tulikubaliana kuwa mimi namsaidia kijana toka mchana.Mkuu ni pm basi tuone tunamsaidiaje kijana huyo
Zama za unanifaham zimeanza kurudi lakini sio kesi We jibu swali kwanzaUnanifahamu?
Usikwazike Mkuu Wangari kuna watu wa kila tabia humu, nakuelewa Sana.Unanifahamu?