Ulimakafu
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 31,248
- 13,244
Au Muhoozi wa M7.Atafanikiwa kama kina Ali na Omary Bongo??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Au Muhoozi wa M7.Atafanikiwa kama kina Ali na Omary Bongo??
Jambo jema..Anaitwa Ian Kagame (Luteni Usu)
Mtoto wa Rais wa Rwanda, Paul Kagame, kwa sasa rasmi amejiunga na kikosi cha Ulinzi wa Rais wa Nchi hiyo (PSU).
Hivi karibuni (mwishoni mwa Mwaka 2022) Ian alihitimu mafunzo yake ya Kijeshi katika Chuo cha Royal Military Academy, Sandhurst, nchini Uingereza, moja ya vyuo mashuhuri vya kijeshi Duniani.
View attachment 2484407View attachment 2484408View attachment 2484410View attachment 2484411View attachment 2484412
Hii ni comment ya muafrika halisi, angesema amesoma na Kingwendu wala maswali yasinge kuwepo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] wapi Vikindu?
Siasa za kikabila hazina nafasi kwenye Rwanda ya Sasa.Watusi wa RPF bhana wanafanya kama alivyokua anafanya Habriymana!!!Tatizo la wanyarwanda ukabila 🤣🤣🤣Dogo anaweza kua mrithi wa babake kama Wahutu hawatompindua baba yake
Mimi hata sikulaumu ni kamzimu ka kiafrika tuu kalivamia akili yako.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] afu sijui kwann nilisema vile dah nimejishtukia
Kampuni ya familia hakabidhi umiliki kwa mtu wa nje ya familia,Hapa ndo utajua madaraka hayajawahi kukifu.
Yaani unakuta miaka nenda rudi wanatamani kizazi kiendelee kuwa hicho hicho tu.
Kwa kifupi una roho ya kutu.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] afu sijui kwann nilisema vile dah nimejishtukia
Dgo unako elekea unataka kuniudhi ntakuzibua ushangae unafikiri Mimi ms*ng* kama ww nakuangalia tuKwa kifupi una roho ya kutu.
Huku kuna majeneral, kuna majaji, kuna mawaziri hivyo mtu kusema amesoma naye hakuna ajabu.
Najua umetolea mfano wa Vikindu ukijua kuwa hilo asemalo haliwezekani.
Acha ukuda dogo
Hatakuwa General maana Baba yake atakuwa RIPIAN anaandaliwa kua head wa PSU kama ilivokua kwa muhoozi kule uganda na baadae atakua promoted to meja general halafu full general hana miaka minne ya kua general kamili hapo yuko field kutengeneza historia tu katika jeshi maana kuingia PSU hua ni hatua kubwa ya kimajukumu jeshini
Mzee anaandaa mazingira
Hakika umebet vyema hata body language ya dogo na mzee zinadhirisha hali si shwari!Maana yake kuna uwezekano PSU iko compromised
Like father like son,muhoozi na dingi ni mabest wa kiti cha kwanza what do you expect?Hana mambo ya muhoozi huyo dogo?
Year sure hizo zinaitwa exit strategy. Dogo anaandaliwaMzee anaandaa mazingira