Anaitwa Ian Kagame (Luteni Usu)

Jambo jema..

Moronight walker
 
Hii ni comment ya muafrika halisi, angesema amesoma na Kingwendu wala maswali yasinge kuwepo [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] afu sijui kwann nilisema vile dah nimejishtukia
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] afu sijui kwann nilisema vile dah nimejishtukia
Mimi hata sikulaumu ni kamzimu ka kiafrika tuu kalivamia akili yako.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] afu sijui kwann nilisema vile dah nimejishtukia
Kwa kifupi una roho ya kutu.
Huku kuna majeneral, kuna majaji, kuna mawaziri hivyo mtu kusema amesoma naye hakuna ajabu.
Najua umetolea mfano wa Vikindu ukijua kuwa hilo asemalo haliwezekani.
Acha ukuda dogo
 
Kwa kifupi una roho ya kutu.
Huku kuna majeneral, kuna majaji, kuna mawaziri hivyo mtu kusema amesoma naye hakuna ajabu.
Najua umetolea mfano wa Vikindu ukijua kuwa hilo asemalo haliwezekani.
Acha ukuda dogo
Dgo unako elekea unataka kuniudhi ntakuzibua ushangae unafikiri Mimi ms*ng* kama ww nakuangalia tu
 
Hatakuwa General maana Baba yake atakuwa RIP
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…