Anaitwa Roma: Wimbo mpya wa Roma Mkatoliki

Anaitwa Roma: Wimbo mpya wa Roma Mkatoliki

Labda Miungu ya DAresalama. Hivi beef lake Na yule rapa wa Kaskazini lilishaishaga?🤔
 
Hivi hamjui yusufu ndiye alikuwa kipenzi cha Mzee yakobo..hdi nduguze wakamchukia..so unganisheni dot
 
Hivi huu wimbo unashida gani, maana kila nikijaribu kuusikiliza sisikii sehemu iliyomfanya Degree 4 kutoa povu.
wamezoea kusifiwa tu, akitokea hata wa kupiga chafya tu wanaona kama wameshikwa pabaya!
 
IMG_20191117_101436.jpg
kuna mahali nimesikia Roma kataja kuhusu Yusuph msaada jaman labda sjaelewa
 
Tatzo Wanaopiganiwa ndio hamnazo kbs"
Sfr ni ndefu sana.
 
Bima ya afya muhimu kuliko ndege....

Stamina combination ama mmoja mmoja kweli prof j kapata waridhi sio mashairi ya kisenge mapenzi kila siku wakti vijijini madhila tamaliza wana..... HATA BASATA WAKIUFUNGIA TAARIFA WASHAIPATA
 
Bima ya afya muhimu kuliko ndege....

Stamina combination ama mmoja mmoja kweli prof j kapata waridhi sio mashairi ya kisenge mapenzi kila siku wakti vijijini madhila tamaliza wana..... HATA BASATA WAKIUFUNGIA TAARIFA WASHAIPATA
Ina maana siku zote mlishindwa sema maneno haya BIMA YA AFYA BORA KULIKO NDEGE?
Mpaka jamaa anaonekana jembe? Haya machaka ya kujificha ni balaa. Kabla mlisema inakuaje kataifa kadogo kama rwanda kana ndege zake sisi hatuna! Leo ndege zipo mnashangilia upuuzi. Bima ya afya sio bure ìla ipo. Na sio tz tu, hata mareani na ulaya bima ya afya ipo ila sio bure.
 
Bima ya afya muhimu kuliko ndege....

Stamina combination ama mmoja mmoja kweli prof j kapata waridhi sio mashairi ya kisenge mapenzi kila siku wakti vijijini madhila tamaliza wana..... HATA BASATA WAKIUFUNGIA TAARIFA WASHAIPATA
Sijaona mstari wowote ambao unaenda kinyume na maudhui ya BASATA...Wimbo Konki.
 
Sio kwamba unakuzwa, Roma kazungumzia changamoto zinazotukabili kitaa, ndio maana wananchi wameupokea 100%
Ukweli hauna sababu ya kujificha
Kwanini aling'ata na kupuliza Sasa? Au labda mimi nimeusikia vibaya huo wimbo

Nachomsifu ni kuwa walau yeye amejitoa kutoa wimbo wa aina hiyo hilo ni la kumsifu. Ilimradi tu asiwe mamluki
 
Kwanini aling'ata na kupuliza Sasa? Au labda mimi nimekusikia vibaya huo wimbo

Nachomsifu ni kuwa walau yeye amejitoa kutoa wimbo wa aina hiyo hilo ni la kumsifu. Ilimradi tu asiwe mamluki
Sasa si bora yeye kuliko wew uliyejificha hapa na fekero
 
Back
Top Bottom