Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wamezoea kusifiwa tu, akitokea hata wa kupiga chafya tu wanaona kama wameshikwa pabaya!Hivi huu wimbo unashida gani, maana kila nikijaribu kuusikiliza sisikii sehemu iliyomfanya Degree 4 kutoa povu.
Wakati huo huo kwenye wimbo anakosoa viongozi alafu anasema hawataki kukosolewa."Viongozi hawana maarifa na hawataki wakosolewe wanafanya kazi kwa sifa"
Ina maana siku zote mlishindwa sema maneno haya BIMA YA AFYA BORA KULIKO NDEGE?Bima ya afya muhimu kuliko ndege....
Stamina combination ama mmoja mmoja kweli prof j kapata waridhi sio mashairi ya kisenge mapenzi kila siku wakti vijijini madhila tamaliza wana..... HATA BASATA WAKIUFUNGIA TAARIFA WASHAIPATA
Sijaona mstari wowote ambao unaenda kinyume na maudhui ya BASATA...Wimbo Konki.Bima ya afya muhimu kuliko ndege....
Stamina combination ama mmoja mmoja kweli prof j kapata waridhi sio mashairi ya kisenge mapenzi kila siku wakti vijijini madhila tamaliza wana..... HATA BASATA WAKIUFUNGIA TAARIFA WASHAIPATA
WATU WANAKAMATIA NDINGA, NAONA WE UMEAMUA UKAMATIE "MPINI"Wimbo wa hovyo wa mwaka. Hata haueleweki.
lkn kawatusi watekaji eti walisahau dole la kati
Sio kwamba unakuzwa, Roma kazungumzia changamoto zinazotukabili kitaa, ndio maana wananchi wameupokea 100%Huu wimbo unakuzwa kuliko uhalisia
Kwanini aling'ata na kupuliza Sasa? Au labda mimi nimeusikia vibaya huo wimboSio kwamba unakuzwa, Roma kazungumzia changamoto zinazotukabili kitaa, ndio maana wananchi wameupokea 100%
Ukweli hauna sababu ya kujificha
Sasa si bora yeye kuliko wew uliyejificha hapa na fekeroKwanini aling'ata na kupuliza Sasa? Au labda mimi nimekusikia vibaya huo wimbo
Nachomsifu ni kuwa walau yeye amejitoa kutoa wimbo wa aina hiyo hilo ni la kumsifu. Ilimradi tu asiwe mamluki
Ipo bado labda kwako huko ndo haipoMkuu YouTube ilishapigwa block tayari
Sawa mwanaharakatiSasa si bora yeye kuliko wew uliyejificha hapa na fekero