Anaitwa Roma: Wimbo mpya wa Roma Mkatoliki

Dogo nia yako ya harakati ni nzuri na njema sana japokuwa si kwa siasa za hovyo kama zetu hapa Tanzania. Itoshe kukuonya hebu acha kuchezea maisha yako kwa kuvimbishwa kichwa na Wanasiasa uchwara!

Tofauti na hivyo jihesabie mwenyewe siku zako za uwepo wako hapa Duniani.
 
Sasa si ndio anaonya ili tuondokane na hizo siasa za hovyo
 
Unaweza kutoa sababu kwa nini tusiwe na wanaharakati Bongo kama Roma hadi kumhesabia siku za kuishi?
 
wacheni vitisho vya kitoto nyie MATAGA..
hata wafuasi wa Gaddafi nao walikuwa na upofu kama huu wa misukule ya MATAGA.

sasa.....aguswe Roma afu mtaona watu watakavyonuka shubamit!!
 
Hakuna kitu kama icho,na inawezekana tukakuzika wewe yeye akabaki,anaejua muda wa mtu kuondoka ni mwenyezi Mungu pekee,hata wauaji na nyie mnakufa.
 
Kwani Roma kaanza kuimba nyimbo za aina hii leo
Tangu enzi za JmK Mr president,Mathematics,Viva nk
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…