Anaitwa Roma: Wimbo mpya wa Roma Mkatoliki

Anaitwa Roma: Wimbo mpya wa Roma Mkatoliki

Tusubiri tamko la YUSUPH kupitia Instagram akimuamuru Roma aripoti kituo cha polisi kilicho karibu nae kuna ujumbe wake... YUSUPH mtoto mpendwa.
 
Wacha nimalize masala ya jioni halafu nitarudi
Screenshot_20191115-184822.jpeg
 
Haya kachukue buku 7 sasa kwa maaan hata Idi amimi alfanya zaidi ya hayo na hakumbukwi kwa kuminya Uhuru wa watu na kuua democrasia unashindwa kuona rafu ktk chaguzi hizi za sm unakaaa kufatilia mashairi ya Roma sema kisu kimegusa!eti act yanatuhusu nn Tanzania ni muhimu na kubwa kuliko vyma vya siasa! Umeandikauharo
 
Hivi kwenye dunia ya leo utamdanganya mtu kuwa ROMA anatumiwa kwani hatuoni na alichoimba ni ukweli mtupu kabisa

Vijana wa lumumba polepole bashiru bashite hata Meko huwa wanaongea na kutenda maovu mimi nayaona tu

Hata wakitenda mema nayaona

Acha kuleta ujinga na uongo.alichosema ROMA ni kweli kabisa wala hakikwamishi maendeleo


Yaani kukiwa na kamradi tu ka Jiwe anaona kelele analeta maendeleo
MAENDELEO huku leo huko geita watoto wamekosa vyumba vya madarasa na kufanyia mtihani chini ila jamaa analeta ndege RAISI WAwanyonge yuko wapi mtu unajiita raisi wawanyonge alafu unawasahau
 
Wadau mm cjui kwa nn huyu mwamba aliamua kujiita Roma mkatoliki na sio jina lingne
 
Back
Top Bottom