Nadhani clip inajieleza vizuri sana..napo mimi sijamtaja mtu kwa jina wala kwa cheoTunasikitika kitendo cha kupotea Kwa binadamu wenzetu.
Ila kutoa tuhuma Kwa mtu ,eti anajua walipo inaleta ukakasi.
Je,tupo tayari kutoa ushahidi ikiwa tutaitwa mahakamani?
ni kwanini baada ya uchaguzi wa ndani wa chadema watu hawavai bullet proof vest?Nyakati zitasema naye na wote waliohusika
Asili inaona na haijakaa kimya!.. Hata wengine wasipolipa kisasi.. Asili itafanya.. Karma haikopeshi.. Asili hulipa kisasi kwa niaba
Asili hukifanya kisasi kitunge mimba
Asili hukifanya kisasi kizae , kikuze kisha kikomaze..
Kisasi kikishakomaa.. Kikishakomaza.. Wahusika hawana pa kuponea..
Tuupe muda wakati.. Kisasi hakijasahau.. Asili bado inakumbuka.. Karma inasubiri wakati utimie
https://www.facebook.com/
View: https://www.facebook.com/share/v/1EJTZ4wvZK/?mibextid=rS40aB7S9Ucbxw6v
Kwa nini asijue wakati anamiliki vyombo vyote vya ulinzi na usalama na aliapa kutulinda?Tunasikitika kitendo cha kupotea Kwa binadamu wenzetu.
Ila kutoa tuhuma Kwa mtu ,eti anajua walipo inaleta ukakasi.
Je,tupo tayari kutoa ushahidi ikiwa tutaitwa mahakamani?
Ile tume rais aliyounda kuchunguza huo utekaji na akaagiza apewe taarifa iliishia wapi? Hapo unataka watu wafikirie vipi? Naona unatumia mahakama kama kitisho, inafahamika mahakama ni sehemu ya kulinda uovu wa viongozi hapa nchini. Hivyo acha vitisho visivyo na tija.Tunasikitika kitendo cha kupotea Kwa binadamu wenzetu.
Ila kutoa tuhuma Kwa mtu ,eti anajua walipo inaleta ukakasi.
Je,tupo tayari kutoa ushahidi ikiwa tutaitwa mahakamani?
Kwani sababu za Lisu kuvaa si alishazitoa siku nyingi.ni kwanini baada ya uchaguzi wa ndani wa chadema watu hawavai bullet proof vest?
lakini pia kwanini matukio ya utekaji na vijana kupotelea chadema HQ yameisha baada ya uchaguzi wa ndani wa chadema kwisha?
Chadema HQ kuna nina hasa? nani alikua threats kwa wengine?
alisemaje kwa faida ya wadau?Kwani sababu za Lisu kuvaa si alishazitoa siku nyingi.
Nyie machawa mlikuwa wapi, au ndo mlikuwa busy kumtukana Lisu?
Wenye akili tunajua matukio yote yanafanywa na serikali kwa baraka za boss wao.
Akili zako wewe zina matatizo. Au ni madawa ya kulevya yanakusumbua.ni kwanini baada ya uchaguzi wa ndani wa chadema watu hawavai bullet proof vest?
lakini pia kwanini matukio ya utekaji na vijana kupotelea chadema HQ yameisha baada ya uchaguzi wa ndani wa chadema kwisha?
Chadema HQ kuna nina hasa? nani alikua threats kwa wengine?
Nyakati zitasema naye na wote waliohusika
Asili inaona na haijakaa kimya!.. Hata wengine wasipolipa kisasi.. Asili itafanya.. Karma haikopeshi.. Asili hulipa kisasi kwa niaba
Asili hukifanya kisasi kitunge mimba
Asili hukifanya kisasi kizae , kikuze kisha kikomaze..
Kisasi kikishakomaa.. Kikishakomaza.. Wahusika hawana pa kuponea..
Tuupe muda wakati.. Kisasi hakijasahau.. Asili bado inakumbuka.. Karma inasubiri wakati utimie
https://www.facebook.com/
View: https://www.facebook.com/share/v/1EJTZ4wvZK/?mibextid=rS40aB7S9Ucbxw6v
nahisi mambo yote yalikua yanafanyika chadema HQAkili zako wewe zina matatizo. Au ni madawa ya kulevya yanakusumbua.
Haka ka dogo huwa nakaelewa sana, huwezi kulinganisha na yale mabumunda ya UVCCM yakiongozwa na koroma Lucas Mwashambwa!Nyakati zitasema naye na wote waliohusika
Asili inaona na haijakaa kimya!.. Hata wengine wasipolipa kisasi.. Asili itafanya.. Karma haikopeshi.. Asili hulipa kisasi kwa niaba
Asili hukifanya kisasi kitunge mimba
Asili hukifanya kisasi kizae , kikuze kisha kikomaze..
Kisasi kikishakomaa.. Kikishakomaza.. Wahusika hawana pa kuponea..
Tuupe muda wakati.. Kisasi hakijasahau.. Asili bado inakumbuka.. Karma inasubiri wakati utimie
https://www.facebook.com/
View: https://www.facebook.com/share/v/1EJTZ4wvZK/?mibextid=rS40aB7S9Ucbxw6v
Dah, kumbe brother ndo hauna akili kiasi hiki?!!! Pole sana. Niwaambie tu, Mungu huwa anaangalia vilivyomo moyoni na si vitokavyo mdomoni.Nadhani clip inajieleza vizuri sana..napo mimi sijamtaja mtu kwa jina wala kwa cheo
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣nahisi mambo yote yalikua yanafanyika chadema HQ
You can write better than thisni kwanini baada ya uchaguzi wa ndani wa chadema watu hawavai bullet proof vest?
lakini pia kwanini matukio ya utekaji na vijana kupotelea chadema HQ yameisha baada ya uchaguzi wa ndani wa chadema kwisha?
Chadema HQ kuna nina hasa? nani alikua threats kwa wengine?