Anajua walipo na kama wako hai ama la

Anajua walipo na kama wako hai ama la

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
301,577
Reaction score
754,412
Nyakati zitasema naye na wote waliohusika
Asili inaona na haijakaa kimya!.. Hata wengine wasipolipa kisasi.. Asili itafanya.. Karma haikopeshi.. Asili hulipa kisasi kwa niaba
Asili hukifanya kisasi kitunge mimba
Asili hukifanya kisasi kizae , kikuze kisha kikomaze..
Kisasi kikishakomaa.. Kikishakomaza.. Wahusika hawana pa kuponea..
Tuupe muda wakati.. Kisasi hakijasahau.. Asili bado inakumbuka.. Karma inasubiri wakati utimie


View: https://www.facebook.com/share/v/1EJTZ4wvZK/?mibextid=rS40aB7S9Ucbxw6v
 
Tunasikitika kitendo cha kupotea Kwa binadamu wenzetu.

Ila kutoa tuhuma Kwa mtu ,eti anajua walipo inaleta ukakasi.

Je,tupo tayari kutoa ushahidi ikiwa tutaitwa mahakamani?
 
Tunasikitika kitendo cha kupotea Kwa binadamu wenzetu.

Ila kutoa tuhuma Kwa mtu ,eti anajua walipo inaleta ukakasi.

Je,tupo tayari kutoa ushahidi ikiwa tutaitwa mahakamani?
Nadhani clip inajieleza vizuri sana..napo mimi sijamtaja mtu kwa jina wala kwa cheo
 
Nyakati zitasema naye na wote waliohusika
Asili inaona na haijakaa kimya!.. Hata wengine wasipolipa kisasi.. Asili itafanya.. Karma haikopeshi.. Asili hulipa kisasi kwa niaba
Asili hukifanya kisasi kitunge mimba
Asili hukifanya kisasi kizae , kikuze kisha kikomaze..
Kisasi kikishakomaa.. Kikishakomaza.. Wahusika hawana pa kuponea..
Tuupe muda wakati.. Kisasi hakijasahau.. Asili bado inakumbuka.. Karma inasubiri wakati utimie


View: https://www.facebook.com/share/v/1EJTZ4wvZK/?mibextid=rS40aB7S9Ucbxw6v

ni kwanini baada ya uchaguzi wa ndani wa chadema watu hawavai bullet proof vest?

lakini pia kwanini matukio ya utekaji na vijana kupotelea chadema HQ yameisha baada ya uchaguzi wa ndani wa chadema kwisha?

Chadema HQ kuna nina hasa? nani alikua threats kwa wengine? :NoGodNo:
 
Tunasikitika kitendo cha kupotea Kwa binadamu wenzetu.

Ila kutoa tuhuma Kwa mtu ,eti anajua walipo inaleta ukakasi.

Je,tupo tayari kutoa ushahidi ikiwa tutaitwa mahakamani?
Kwa nini asijue wakati anamiliki vyombo vyote vya ulinzi na usalama na aliapa kutulinda?
Kwa nini haviagizi kwa dhati kabisa viwatafute wahusika na riporti isomwe hadharani?
Kama haviamini basi aunde tume ya kijaji au tuombe msaada kwa vyombo vya nje vitusaidie.
Kama hawezi kuyafanya hayo, maana yake anawajua wahusika na ama amewatuma yeye na anawalinda kwa nguvu zote.
 
Tunasikitika kitendo cha kupotea Kwa binadamu wenzetu.

Ila kutoa tuhuma Kwa mtu ,eti anajua walipo inaleta ukakasi.

Je,tupo tayari kutoa ushahidi ikiwa tutaitwa mahakamani?
Ile tume rais aliyounda kuchunguza huo utekaji na akaagiza apewe taarifa iliishia wapi? Hapo unataka watu wafikirie vipi? Naona unatumia mahakama kama kitisho, inafahamika mahakama ni sehemu ya kulinda uovu wa viongozi hapa nchini. Hivyo acha vitisho visivyo na tija.
 
ni kwanini baada ya uchaguzi wa ndani wa chadema watu hawavai bullet proof vest?

lakini pia kwanini matukio ya utekaji na vijana kupotelea chadema HQ yameisha baada ya uchaguzi wa ndani wa chadema kwisha?

Chadema HQ kuna nina hasa? nani alikua threats kwa wengine? :NoGodNo:
Kwani sababu za Lisu kuvaa si alishazitoa siku nyingi.
Nyie machawa mlikuwa wapi, au ndo mlikuwa busy kumtukana Lisu?
Wenye akili tunajua matukio yote yanafanywa na serikali kwa baraka za boss wao.
 
Kwani sababu za Lisu kuvaa si alishazitoa siku nyingi.
Nyie machawa mlikuwa wapi, au ndo mlikuwa busy kumtukana Lisu?
Wenye akili tunajua matukio yote yanafanywa na serikali kwa baraka za boss wao.
alisemaje kwa faida ya wadau?
na kwanini alikua akivaa kwenda chadema HQ pekee?:pedroP:
 
ni kwanini baada ya uchaguzi wa ndani wa chadema watu hawavai bullet proof vest?

lakini pia kwanini matukio ya utekaji na vijana kupotelea chadema HQ yameisha baada ya uchaguzi wa ndani wa chadema kwisha?

Chadema HQ kuna nina hasa? nani alikua threats kwa wengine? :NoGodNo:
Akili zako wewe zina matatizo. Au ni madawa ya kulevya yanakusumbua.
 
Watesi wanakusikia... Wanahangahika kupambana na nafasi zao zinazosema ukweli. Hakika hawana amani hapo walipo...
Nyakati zitasema naye na wote waliohusika
Asili inaona na haijakaa kimya!.. Hata wengine wasipolipa kisasi.. Asili itafanya.. Karma haikopeshi.. Asili hulipa kisasi kwa niaba
Asili hukifanya kisasi kitunge mimba
Asili hukifanya kisasi kizae , kikuze kisha kikomaze..
Kisasi kikishakomaa.. Kikishakomaza.. Wahusika hawana pa kuponea..
Tuupe muda wakati.. Kisasi hakijasahau.. Asili bado inakumbuka.. Karma inasubiri wakati utimie


View: https://www.facebook.com/share/v/1EJTZ4wvZK/?mibextid=rS40aB7S9Ucbxw6v
 
Nyakati zitasema naye na wote waliohusika
Asili inaona na haijakaa kimya!.. Hata wengine wasipolipa kisasi.. Asili itafanya.. Karma haikopeshi.. Asili hulipa kisasi kwa niaba
Asili hukifanya kisasi kitunge mimba
Asili hukifanya kisasi kizae , kikuze kisha kikomaze..
Kisasi kikishakomaa.. Kikishakomaza.. Wahusika hawana pa kuponea..
Tuupe muda wakati.. Kisasi hakijasahau.. Asili bado inakumbuka.. Karma inasubiri wakati utimie


View: https://www.facebook.com/share/v/1EJTZ4wvZK/?mibextid=rS40aB7S9Ucbxw6v

Haka ka dogo huwa nakaelewa sana, huwezi kulinganisha na yale mabumunda ya UVCCM yakiongozwa na koroma Lucas Mwashambwa!
 
Nadhani clip inajieleza vizuri sana..napo mimi sijamtaja mtu kwa jina wala kwa cheo
Dah, kumbe brother ndo hauna akili kiasi hiki?!!! Pole sana. Niwaambie tu, Mungu huwa anaangalia vilivyomo moyoni na si vitokavyo mdomoni.

Mungu hawapendi wanafiki, na mara nyingi huwaumbua mno na kuwanyima matakwa yao.........Mungu ataendelea kuwaumbua na kuwanyima Raha na amani na utulivu wanafiki wote tulionao nchi hii.....hawa waliojaa chuki za hila juu ya mtu flani kwa sababu zao zilizojificha mioyoni kwao.
 
Hakuna marefu yasiyo na ncha kwani Magufuli yuko wapi?

Wafuasi wake unawaona wakitembea "kifua mbere " tena?

Uliwahi fikiria "wasiojulika" wangeanza kumuwinda Polepole na Makonda hadi wakaja nao kwenye media kusema wanatishiwa kuuwawa?

Hiyo siku inakuja walioshiriki hizo mission zote kuna muda nao wataanza kuwindwa na wataanza kulia tena na wao.
 
ni kwanini baada ya uchaguzi wa ndani wa chadema watu hawavai bullet proof vest?

lakini pia kwanini matukio ya utekaji na vijana kupotelea chadema HQ yameisha baada ya uchaguzi wa ndani wa chadema kwisha?

Chadema HQ kuna nina hasa? nani alikua threats kwa wengine? :NoGodNo:
You can write better than this
 
Back
Top Bottom