Anakatazwa kutoka ndani!!


Mambo ya kiduku hayo yamemchanganya
 

Fidel mambo mazito hayo, omba yasikukute, wanaume wengi ni tu wasiri sana!
 
Aku ukanifidq goti yangu maana jana ulivyoshabikia??? halafu kwa nini nimtafute DA na wakati wewe upo, au na wewe domo zito?

Ha ha ha Gaga bana bado unakumbuka goti yako kwa Fidel?? Usiogope unajua mie ndo sponser wake so kila kitu akitaka kufanya lazima aombe ruhusa kwangu
 



ndoa iliyofungwa na mungu na isiingiliwe,
nyinyi mwaitakia nini, hata kama mwanaume anapiga deki,anakatazwa kutoka,
wewe inakuhusu!
hayo mambo ni ya wana ndoa wenyewe, sasa wewe wa pembeni kinachokuwasha ni nini?
Ulitaka maisha ya wanandoa wote yafanane?imekuwa sare ya shule hiyo?
 
Licha ya jamaa kulazwa sebuleni pia siku nyingine wakikorofishana mke anaenda kulala chumba cha house girl!!
 
Hatuingilii, jamaa mwenyewe kaomba ushauri baada ya kuona mambo yanamshinda!
 

Hee??? Umetokea wapi wewe?? Au inawezekana ndo wewe huyo jamaa maana ulivyosema kwa ..................kama imekuuma vile
 

Pole kaka bacha
 
Licha ya jamaa kulazwa sebuleni pia siku nyingine wakikorofishana mke anaenda kulala chumba cha house girl!!
Aisee Katavi huyu mwanamke anahitaji kuwekwa sawa na tena kuwekwa sawa haswa maana inakoelekea jamaa atakuwa anambiwa ikifika saa 12 jioni uwe umeishafika nyumbani.
 
Ha ha ha Gaga bana bado unakumbuka goti yako kwa Fidel?? Usiogope unajua mie ndo sponser wake so kila kitu akitaka kufanya lazima aombe ruhusa kwangu

Hivo eee yaani mpaka tupitie kwako ndio akatufidq?? haya ngoja nirudi loliondo DA naenda kazia na dozi ya babu maana ile kila tatizo hata kama boss wako hakupendi ukirudi tu unakuta anakukenulia meno
 
Hivo eee yaani mpaka tupitie kwako ndio akatufidq?? haya ngoja nirudi loliondo DA naenda kazia na dozi ya babu maana ile kila tatizo hata kama boss wako hakupendi ukirudi tu unakuta anakukenulia meno

Haya nitakuja kukupokea my dear
 
Jamaa yako ana tatizo gani Katavi? Hebu chunguzen, kuna shida hapo. Na kwa sasa m'mke atakuwa na kidume kinamgonga mahali. Ni vigumu sana kwa m'mke kumfungia mmewe tena anaempenda sebulen, this means you dont need need him any more. Cha kushangaza mke hana kazi analishwa na jamaa kisha anakuwa jeuri namna hiyo anaipata wapi? Katavi mshauri jamaa aondoke home awe na makazi hata ya muda walau apate ahuen. Vinginevyo anavyozidi kushupaza shingo yatmfika makubwa ambayo yanaweza kumfanya apoteze hata maisha, hatuombi yatokee. Kwa maisha ya sasa, mtu unatakiwa nyumbani pawe ni mahali pa amani na upamisi kila unapokuwa mbali, sasa yeye jamaa nyumbani kunakuwa kama gerezani bwana? Suluhisho aondoke amwachie kila kitu,. Kama ni nyumba na mali a-assume kuwa vimengua moto! Yote ya nini? Sasa kuna haja gani ya kuishi na mke asiyekujali na kukudhamini kama mme wake. Kwanza hampendi huyo jamaa hata kidogo. Na angekuwa na kipato huyo mama jamaa angeteseka sana zaidi ya hapo. Kama anamtendea hivyo leo akiwa hana kazi, je angekuwa ana kipato si angemfanya house boy wake na nguo zote angefua na kupika pia. Hatukatai kufanya hizi kazi cc wababa ila sio kila cku kwa shinikizo la mke! Once again mpe pole sana jamaa yetu na mkumbushe kuwa "Taking action without delaying is the secret of efficiency". Au
 
Licha ya jamaa kulazwa sebuleni pia siku nyingine wakikorofishana mke anaenda kulala chumba cha house girl!!

Duh mi sihami chumbani kwangu hata arudi asubuhi shauri yake. hii ndoa ya kukomoana tu yaani mke baunca utadhani nini. sijui hata kama kwenye majambo analainika na ule wako usimfikishe kazini huendi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…