Anakatazwa kutoka ndani!!

Mkuu kwa jinsi inavoonekana kati ya wanaume wapumbavu kabisa ni huyu rafiki yako... kampe ujumbe huo!!! Hata mumpe ushauri gani kama hatojitambua kuwa yeye ni mpumbavu hatotatua hilo tatizo lake!!!:smash:
 
Duh mi sihami chumbani kwangu hata arudi asubuhi shauri yake. hii ndoa ya kukomoana tu yaani mke baunca utadhani nini. sijui hata kama kwenye majambo analainika na ule wako usimfikishe kazini huendi[/QUOTE]
Ahaaa ahaaa ahaaa lol..wewe Gaga wewe
 

Ushauri mzuri nimecheka pale uliposema ajifanya kama vimeungua moto vile
 
 
Amelishwa ile mambo ya kudhoofisha fikra wakuu? Kama ndivyo tumweke kwenye maombi limtoke.
 
Ahahahahaaaah!! Dena mimi nina miliki baiskeli........lol...

hahaha Acha bana! We JF premium member bana - Moja wa wafadhili wa forum (afu wewe si branch manager benki Morogoro!)........anyways naona wadau wametoushauri mwingi tu...hapa sasa ni kuchambua na kumplekea ule unafikiria utamfaa!
 
Katavi naomba unijuze, ndoa yao ina mda gani na wamejaliwa kupata watoto wangapi. After ths I'll gv you an idea. Urgent
 
Huyo mwanamke anasumbuliwa na wivu. Na kikubwa zaidi ni wivu wa mapenzi ambao ni matokeo ya kukosekana kwa vitu vikuu viwili katika nguzo za ndoa.
Ndoa ina nguzo kuu 6 nazo ni
  1. Kuheshimiana
  2. Kuaminiana
  3. Kushirikiana
  4. Kulindana
  5. Kusaidiana
  6. Kutambuana.
Nafikiri huyo mwanamke ameshindwa kumuamini mumewe au la hawakupata muda wa kutambuana.

Ili mume na mke waweze kuaminiana ni lazima kila mmoja atende vitendo vya vitakavyo onyesha kuwa, undani wake ni safi na vile vile, atende vitendo vya kukubali kuwa undani wa mwenziw, mtu ampendaye ni safi kabisa. Vitendo shurti viwe na yafuatayo.
  • Huyumbishwi katika maamuzi yako
  • Unatumia busara na hekima katika vitendo vyako.
  • Unauelewa mshtuko na mshangao wako
  • Huna swali chafu.
Kutambuana inafaa mume na mke watende matendo yenye kuonyesha kuwa wanatambuana kama vile
  • Kuheshimu maamuzi ya mwenzio.
  • Kuheshimu ndoa yako (usiwe na nyumba ndogo)
  • Kumuona mwenzio kama wewe mwenyewe.
  • Kujivunia hadhi ya mwenzio
Tafadhali washauri hawa wanadoa wazingatie mambo hayo nadhani yatanusuru hiyo ndoa.
 
Katavi naomba unijuze, ndoa yao ina mda gani na wamejaliwa kupata watoto wangapi. After ths I'll gv you an idea. Urgent

Better late than never alishajibu kuwa wanamtoto mmoja na ndoa ya kikristo (kama sijakosea)
 
Wewe nilimiss sana posti zako. Aisee mbona umepotea sana au ndio unasaka faranga. mwenzio Zion daughter naye ametukimbia siku hizi.
 
Pamoja na kukubaliana na yote hajo juu kwa maoni yangu naona nguzo kuu ya ndoa ni kujamiiana. Uzoefu unaonyesha kwamba kwenye ndoa mke/mme anaweza kuboronga mambo mengi lakini inapofikia kunyimana unyumba hapo uzalendo huwa unashindikana.Ni hilo tu nilitaka kusema.
 
Mchunguzeni huyo mwanamke, lazima atakuwa anatembea nje ya ndoa...! Hivyo anajihami na kujijengea hali ya kuwa insecure ....! Hivyo ndivyo nionavyo mimi mkuu....!
 
Mimi naomba nitoe angalizo tu. Reading between the lines napata picha ya domestic violence.Sitashangaa kama huyu bwana huwa anapigwa na mkewe na hataki marafiki wajue na inawezekana pia ndo maana mke anajenga ukuta kati ya mmewe na marafiki/majirani. Ikiwa ni hivyo ni hatari sana maana usiombee kipigo cha mke kwa mme.Binafsi maishani mwangu nimeshuhudia matukio mengi tena sana ya domestic violence wake wakipiga waume zao na wengine hata kukaribia kuwaua.Na ukiangalia pattern ya couples hizo ni exactly kama alivyoeleza Katavi,mme kukatazwa kutoka ndani,mme kuzuiwa marafiki,mme kuzuiwa ndugu zake nyumbani na mwishowe mnashtukia mme kalazwa hospitali.I am fearing for the safety of this guy.Katavi, kama walivyosema wadau hapo juu mtumie house girl kuchunguza na kama anakung'utwa basi waeleze wazazi wa mwanaume ili hata likitokea la kutokea wawe forewarned.
 
Aende akanywe kikombe cha babu hayo yataisha tu
 
Katavi naomba unijuze, ndoa yao ina mda gani na wamejaliwa kupata watoto wangapi. After ths I'll gv you an idea. Urgent
Ndoa huu mwaka wa tatu, wana mtoto mmoja ana mwaka mmoja na nusu.
 
Pole yake anahitaji maombi ya kufunga hili limbwata limtoke hii ni threa yangu ya kwanza kusoma ila imenitia uchungu hawa ndio wanafanya wanaume waogope kuoa, mimi kama mwanamke simfagilii kabisa huyo mama
 

Du! yan mama wa nyumbani ndo anamwendesha jamaa kiasi hicho! au jamaa kasha lambishwa limbwata! Unajua wanawake ni wajanja sana akitingisha kibiriti halafu kikasambaratika badala ya kitikisika basi umekwisha! wanawake wanamweshimu mtu mwenye maamuzi na msimamo, kama anaambiwa rafiki zake wasije home anakubali basi akaona mengine yote yanawezekana, cku nyingine atarukishwa kichura mbele ya watoto majirani zake! Saasa huyu jamaa kitu cha mwanzo atoe sheria za home
1. Atakua anarudi muda autakao home bila ya kufokewa,na afunguliwe mlango
2. Amtume dukan usiku halafu amfungie nje na yeye aonje tamu ya kufungiwa nje
3. Rafiki zangu wote watakuja hapo home bila kupewa bugda na mkewe
4. hata cku moja ikiwezekana amwonzeshe angalu kofi la uhakika moja tu ila ahakikishe ameanguka
5. kama hana mtoto basi yeye ale hotelini kwa wiki moja au zaidi bila ya kutoa matumizi ya home
6. hao washenga wa nini, yeye ni mwanaume na amalize matatizo yake mwenyewe kama kichwa cha nyumba! Huyu dogo vipi huyu, yaani unanikasirisha mimi wewe na huruma zako za kibazazi, utafikiri umeolewa mke bwana, be a man pls!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…