Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
Suala la Kumpa Mwanamke Pesa au kumkopesha Pesa, ni Uamuzi wa Kiuchumi na sio Uamuzi wa Kihisia
Ndiooo, Unajua huenda unampenda, au upo naye, lkn kiuchumi haupo vzuri, ndo umuache? Ndo akuumize ?? Haipaswi kua hivo..
Huenda Kiuchumi kwa sasa haupo vzuri, huenda wee ndio Rais wa Wa familia yenu, huenda kabisa unapitia wakati ambao haukuruhusu kua huru, kujihudumia wewe na kuwahudumia wengine akiwemo Mwanamke , lkn mwanamke wako mara kwa mara anakuomba Pesa, amefanya uwe mtu wa mawazo sana, kiasi kwamba wengine mnaamuaga kuachana na mahusiano hayo kabisaaa kuepuka stress n.k
Je, wewe ni mmoja ya Wanaume wanaopitia hayo?
Yes, kama wee ni mwanaume unayeamin Pesa kila kitu, endelea mzee baba[emoji23][emoji23][emoji23]
Sikilizeni, Siandiki kuhusu Mwanamke umekutana naye mtandaon , akumDM, akakuuliza ,uko vzuri?? Ukajibu ndioo ....( HUYU SIKU ZOTE ATAKUPIGA HELA TU)yaan kama Una Demu ambaye ni gold digger, huyu hatokupenda "Kihisia" atakua naww kiuchumi, hvowaaina hii, mbinh zangu hizi zinaweza zisikusaidie.
Hapa leo naandika kuhusu Mwanamke uliyemuona, umevutiwa naye, huenda huyo mwanamke kakamilika kila Idara, unamtaka,au upo naye, lkn sasa Suala la Pesa limekua changamoto, Kumpenda unampenda, lkn Pesa ,unahangaika sana, unakopa yaan amekufanya uwe mtu wa Madeni kwa sababu anakuomba mara kwa mara, au wewe mwenyewe umezoea kumpaa lkn now umeyumbaa
Leo nakupa Uhuru wako, Utampa pesa utakavyojisikia nabado ,HATOKAA KAMWE KUFIKIRIA KUKUACHA
Ndio, sikilizeni, mkiwaelewa wanawake, Hawatowasumbua !!! Ndiooo .
Nianze kwa washangaa Jamaa zangu ambao wakishakutana na mwanamke, wanataka wamwonyeshe eehh ni Ma Don, wanapesa [emoji23] , Wakikutana na mwanamke yaan watajionyesha kila kitu kimaisha ,, Wana Magari ,Majumba, Kazi nzurii sanaa zinazowapa pesa, n.k Ofcoz huwa mnafanya ili kupata Attention ( Usijaribu kumuaminisha mwanamke kua wee ndio unamfaa kila kitu) . Wanawake wanaona kwa Kihisia.
Ndio amesikia kua unamtaka, ameona una kazi, nyumba, lkn kinyume chake pia, Ameona PESA, yaan wee ulipomwambia Kazi yako, ameona Pesa..Nyumba sio yako umepanga,ye anaona ,Pesa....Gari. yaan kile anachokisikia kwako, anachokiona, anachokigusa ni Pesa... unategemea nn kitafuata?
[emoji23][emoji23] hatoisha kukuomba Pesa, hatoisha kukuomba umkopeshe, na utamkopesha lkn Hatokaa kamwe kulipa, kwa sababu mahusiano yako tayari ameshayatafasiri kama sehem ya faida kwake.
[emoji101]HAKIKISHA MWANZO WA MAHUSIANO YAKO, HUJIWEKI WAZI KIIVO HATA AJUE UWEZO WAKO WA KIUCHUMI .....utanishukuru.
[emoji101]MFUNDISHE KUVUA SAMAKI, USIMPE SAMAKI[emoji23]
kama kuna kosa Jamaa zangu mnafanya, ni kumwagia pesa mwanamke kila anapokuomba , mfundisheee namna ya kutafuta Pesa, Mjenge akili yake ikomaee na kufunguka kwenye kutafuta, yaaan day anakuomba Pesa, kua huru kuongea naye, mwambie Baby, unajua ukifanya moja mbili utakua na Pesa yako mwenyewe unayojiingizia yaan baadhi ya vitu hata ungekua huniombi ... Alafu Mfundishe na mshike mkono kwa huo muda kma unaweza.
[emoji101]AKIKUOMBA PESA , WEEE MWAMBIE AKUPE MUDA KWANZA WA KUTAFAKARI.. Unajua wanaume wengine sijui udhaifu umetuzidi??? Ukishaombwa Pesa tu ,huna na unaanza kuhaha [emoji23][emoji23][emoji23]unaishia kukopa hahaha, nyoosha, mwambie Sawa baby ila nipe muda kwanza .. Kisha utumie huo muda kutafakari ,Umuhim wa ombi lake la Pesa, ni pesa yenye ulazima??? Ni pesa ya kusubiri, au shida yake haina maana yoyite zaidi ya kutafuta pesa kwenda kustahereka???
Oyaa Hela si niyako??? Kwan aliihifadhi kwako?? Sasa kwann anapokuomba uanze kuhangaikaa weeee, uhangaike na mikopo isiyokua namaana[emoji23][emoji23]
Baada ya Kutafakari wee mwambie, Baby pesa nlokua nayo, bahat mbaya mtu alokua kanikopesha kipindi fulan ,naye kanitafuta hivo imebidi nimpe yeye kwanza ....
[emoji101]Aiseee, Tafuta Njia mbadala za kuhakikisha Hitaji lake lilomfanya ahitaji umpe Pesa, unalitimiza pasipo Kumpa Pesa mkononi
[emoji101]UWAPO NA PESA, MUWAHI KIMAHITAJI KISHA KWENYE HELA ,UTAMPA KIDOGOOO TU ( Hii inamuandaa akili kua, Baby wangu akiwa na hela anafanyaga mbona)
[emoji101]MWAMBIE AUZE VITU VYAKE[emoji23][emoji23][emoji23], Najua hapa wengi hamuwezi ,mnaogopa kuachwa, hahahah yaan nmwambia auze kitu chake hahahahaha
Sikiliza , Kuna Mwanamke anakuomba Pesa nawewe uko mapumbu tuu yaan Pesa ulinayo ni kwaajili ya Kukusogeza mwisho wa mwezi, Alafu yeye anakuomba 500K kwaajili ya Kuongezea Biashara yake [emoji23][emoji23] wakati huohuo anamiliki iPhone 12 Pro Max Brooo, wewe na Ka Itel kako ,kwann Usimshauri tu, Baby Uza hiyo Simu, upate pesa ya kutosha ,
[emoji117]HAKIKISHA UNAMPA RIDHIKO LA KIMAPENZI.
[emoji101]NDUGU YANGU, HAYO PIA ,YASIKUFANYE UBWETEKE KIASI KWAMBA WEE SASA NDIO UWE BAHILIIII
Mwanamke atakua vile ulivyomzoesha.
Majangili wasemao " Mimi Mwanaume mwenye Pesa nikimuona tu na K inaloana".... Brooo huyo ni Msalaba ,ukiamua kuubeba ubebe tu ...ndo gold digger wenyewe hao, mawazi yao yameshikwa., huyo atakuacha mara moja na kwenda kwenye Pesa[emoji23][emoji23][emoji23]
Ndiooo, Unajua huenda unampenda, au upo naye, lkn kiuchumi haupo vzuri, ndo umuache? Ndo akuumize ?? Haipaswi kua hivo..
Huenda Kiuchumi kwa sasa haupo vzuri, huenda wee ndio Rais wa Wa familia yenu, huenda kabisa unapitia wakati ambao haukuruhusu kua huru, kujihudumia wewe na kuwahudumia wengine akiwemo Mwanamke , lkn mwanamke wako mara kwa mara anakuomba Pesa, amefanya uwe mtu wa mawazo sana, kiasi kwamba wengine mnaamuaga kuachana na mahusiano hayo kabisaaa kuepuka stress n.k
Je, wewe ni mmoja ya Wanaume wanaopitia hayo?
Yes, kama wee ni mwanaume unayeamin Pesa kila kitu, endelea mzee baba[emoji23][emoji23][emoji23]
Sikilizeni, Siandiki kuhusu Mwanamke umekutana naye mtandaon , akumDM, akakuuliza ,uko vzuri?? Ukajibu ndioo ....( HUYU SIKU ZOTE ATAKUPIGA HELA TU)yaan kama Una Demu ambaye ni gold digger, huyu hatokupenda "Kihisia" atakua naww kiuchumi, hvowaaina hii, mbinh zangu hizi zinaweza zisikusaidie.
Hapa leo naandika kuhusu Mwanamke uliyemuona, umevutiwa naye, huenda huyo mwanamke kakamilika kila Idara, unamtaka,au upo naye, lkn sasa Suala la Pesa limekua changamoto, Kumpenda unampenda, lkn Pesa ,unahangaika sana, unakopa yaan amekufanya uwe mtu wa Madeni kwa sababu anakuomba mara kwa mara, au wewe mwenyewe umezoea kumpaa lkn now umeyumbaa
Leo nakupa Uhuru wako, Utampa pesa utakavyojisikia nabado ,HATOKAA KAMWE KUFIKIRIA KUKUACHA
Ndio, sikilizeni, mkiwaelewa wanawake, Hawatowasumbua !!! Ndiooo .
Nianze kwa washangaa Jamaa zangu ambao wakishakutana na mwanamke, wanataka wamwonyeshe eehh ni Ma Don, wanapesa [emoji23] , Wakikutana na mwanamke yaan watajionyesha kila kitu kimaisha ,, Wana Magari ,Majumba, Kazi nzurii sanaa zinazowapa pesa, n.k Ofcoz huwa mnafanya ili kupata Attention ( Usijaribu kumuaminisha mwanamke kua wee ndio unamfaa kila kitu) . Wanawake wanaona kwa Kihisia.
Ndio amesikia kua unamtaka, ameona una kazi, nyumba, lkn kinyume chake pia, Ameona PESA, yaan wee ulipomwambia Kazi yako, ameona Pesa..Nyumba sio yako umepanga,ye anaona ,Pesa....Gari. yaan kile anachokisikia kwako, anachokiona, anachokigusa ni Pesa... unategemea nn kitafuata?
[emoji23][emoji23] hatoisha kukuomba Pesa, hatoisha kukuomba umkopeshe, na utamkopesha lkn Hatokaa kamwe kulipa, kwa sababu mahusiano yako tayari ameshayatafasiri kama sehem ya faida kwake.
[emoji101]HAKIKISHA MWANZO WA MAHUSIANO YAKO, HUJIWEKI WAZI KIIVO HATA AJUE UWEZO WAKO WA KIUCHUMI .....utanishukuru.
[emoji101]MFUNDISHE KUVUA SAMAKI, USIMPE SAMAKI[emoji23]
kama kuna kosa Jamaa zangu mnafanya, ni kumwagia pesa mwanamke kila anapokuomba , mfundisheee namna ya kutafuta Pesa, Mjenge akili yake ikomaee na kufunguka kwenye kutafuta, yaaan day anakuomba Pesa, kua huru kuongea naye, mwambie Baby, unajua ukifanya moja mbili utakua na Pesa yako mwenyewe unayojiingizia yaan baadhi ya vitu hata ungekua huniombi ... Alafu Mfundishe na mshike mkono kwa huo muda kma unaweza.
[emoji101]AKIKUOMBA PESA , WEEE MWAMBIE AKUPE MUDA KWANZA WA KUTAFAKARI.. Unajua wanaume wengine sijui udhaifu umetuzidi??? Ukishaombwa Pesa tu ,huna na unaanza kuhaha [emoji23][emoji23][emoji23]unaishia kukopa hahaha, nyoosha, mwambie Sawa baby ila nipe muda kwanza .. Kisha utumie huo muda kutafakari ,Umuhim wa ombi lake la Pesa, ni pesa yenye ulazima??? Ni pesa ya kusubiri, au shida yake haina maana yoyite zaidi ya kutafuta pesa kwenda kustahereka???
Oyaa Hela si niyako??? Kwan aliihifadhi kwako?? Sasa kwann anapokuomba uanze kuhangaikaa weeee, uhangaike na mikopo isiyokua namaana[emoji23][emoji23]
Baada ya Kutafakari wee mwambie, Baby pesa nlokua nayo, bahat mbaya mtu alokua kanikopesha kipindi fulan ,naye kanitafuta hivo imebidi nimpe yeye kwanza ....
[emoji101]Aiseee, Tafuta Njia mbadala za kuhakikisha Hitaji lake lilomfanya ahitaji umpe Pesa, unalitimiza pasipo Kumpa Pesa mkononi
[emoji101]UWAPO NA PESA, MUWAHI KIMAHITAJI KISHA KWENYE HELA ,UTAMPA KIDOGOOO TU ( Hii inamuandaa akili kua, Baby wangu akiwa na hela anafanyaga mbona)
[emoji101]MWAMBIE AUZE VITU VYAKE[emoji23][emoji23][emoji23], Najua hapa wengi hamuwezi ,mnaogopa kuachwa, hahahah yaan nmwambia auze kitu chake hahahahaha
Sikiliza , Kuna Mwanamke anakuomba Pesa nawewe uko mapumbu tuu yaan Pesa ulinayo ni kwaajili ya Kukusogeza mwisho wa mwezi, Alafu yeye anakuomba 500K kwaajili ya Kuongezea Biashara yake [emoji23][emoji23] wakati huohuo anamiliki iPhone 12 Pro Max Brooo, wewe na Ka Itel kako ,kwann Usimshauri tu, Baby Uza hiyo Simu, upate pesa ya kutosha ,
[emoji117]HAKIKISHA UNAMPA RIDHIKO LA KIMAPENZI.
[emoji101]NDUGU YANGU, HAYO PIA ,YASIKUFANYE UBWETEKE KIASI KWAMBA WEE SASA NDIO UWE BAHILIIII
Mwanamke atakua vile ulivyomzoesha.
Majangili wasemao " Mimi Mwanaume mwenye Pesa nikimuona tu na K inaloana".... Brooo huyo ni Msalaba ,ukiamua kuubeba ubebe tu ...ndo gold digger wenyewe hao, mawazi yao yameshikwa., huyo atakuacha mara moja na kwenda kwenye Pesa[emoji23][emoji23][emoji23]