Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
man in the middle attack (mitm)Hii tunaihitaje ?[emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wakati niko chuo kuja dem mmoja nilikuwa namtafuna. Nilikuwa sina hela lkn nilichokuwa nafanya nilikua nikikutana naye nampa show ya kibabe yani nahakikisha kila round tunafika naye.
Ikawa akiniomba hela namwambia sina alaf ananinunia tunapotezeana hata wiki mbili hanitafuti simtafuti lkn mwisho wa siku mwenyewe akikumbuka show ananitafuta.
Hellen popote ulipo najuwa huwez kunisahau na kama uko humu mim ndo yule kiboko yako saiz nina hela ya kukupa hebu rudi
Nb: Ngono ni dhambi
Pesa kiasi gan inamtosha mwanamke ?Wanaume punguzeni jamani, punguzeni khaaaa.....mnalialia sana
Money and love are INSEPARABLE!!!! Hauwezi kutenganisha pesa na mapenzi.
Nb: pesa maana yake sio maburungutu.
Mapenzi sio Pesa.Soma tena hiyo nb...
K ? Haipo kam sehem ya kubadilishanMtanzanyika Huru sa si mbaki na pesa zenu, kwani mnalazimishwa?? Kila mtu abaki na chake....[emoji16]
Wa mizinga sana siku hiziHahahahah Eve kuomba hatujakataa Ila Sasa Kuna baadhi ya wenzenu yaani too much aisee
Hujageuza shingo Tayari kashakulipua .[emoji1][emoji1787]
Mahusiano yenu yako level za awali hata Pete mtu hajavalishwa lakini analipua kwa kwenda mbele .
Mwisho wa siku utasikia "wanaumw wote mbwa tu"[emoji1]
Twende kwa step mizinga mfululizo mnatukimbiza .
Wee unasemea kuhudumiwa na Mumeo [emoji23]Nyie endeleeni kulalamika tu, ila ukweli mapenzi na pesa havitengani....
Mi na mme wangu tukiwa na hela raha zinaongezeka, tunanunua zetu T-bone mixa salala tunachoma nyumbani, tunashushia bia ni raha kwakweli, pesa ikiwepo ni raha....
Tunawapa, lengo la uzi umelielewa?????.Sasa huoni huyo ni muhitaji zaidi....jamani wapeni hela wapenzi wenu [emoji23] punguzeni kulalamika
Kazi iendeleeUWABATA tunatoa pongezi kwa huu uzi. Tuendelee kukaza
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]man in the middle attack (mitm)
Necha....hamjatuzoea tu jameni?!Tunawapa, lengo la uzi umelielewa?????.
Punguzeni kuomba ombaa pia wapenzi wenu
Unaomba Kodi, unaomba, chakula, unaomba biashara khaaaaa
Heeee we usipompa huwa anasepa kumbe?!Wee unasemea kuhudumiwa na Mumeo [emoji23]
Vinapokosekana, huwa unarud kwenu au unaendelea kungoja???
Money and love are two sides of the same coin.....Mapenzi sio Pesa.
Ingawa Pesa inamchango wakutatua mambo
Ila sio kwamba ikikosekana, basi mapenzi pia yakosekane.
Pesa haijawahi kutoshaPesa kiasi gan inamtosha mwanamke ?
Ndio maana nikaandika huu uziHeeee we usipompa huwa anasepa kumbe?!
Asante kwa kulifahamuPesa haijawahi kutosha
Dada tatizo sio kutuomba ila tatizo kuna ile kuzidisha,Mtanzanyika Huru sa si mbaki na pesa zenu, kwani mnalazimishwa?? Kila mtu abaki na chake....😁
Krait naomba umuache huyo mtu uje kwangu 😂😂😂....Dada tatizo sio kutuomba ila tatizo kuna ile kuzidisha,
Mfano mimi demu wangu mwezi uliopita aliniomba 300k aongezee ili amnunulie kaka yake boda boda nikamwambia nipe muda nikutafutie nimetafuta nikampa, kwenda showroom zimepanda bei akaja kuniomba tena nimwongezee 200k nimempa, sijakaa sawa anakuja tena nimpe hela ya kununua Bag, nikamwambia nihurumie kwanza nirudishe hii 500k iliyonitoka
Tangu jana usiku tulivyoachana hatukuwasiliana, nawaza kuachana nae, yaani nimempa 500k ndani ya siku tano kisha ananikasirikia kisa sijampa 50k ya kununua Bag na bado mwezi ukiisha akija ghetto ataleta habari za kumwagia nje
Sawa nifungulie PMKrait naomba umuache huyo mtu uje kwangu 😂😂😂....
pole sana dear