Man Rody
JF-Expert Member
- Aug 4, 2022
- 1,263
- 2,987
Ni kweli mapenz sio vitaKwenye mahusiano, wanaume hujionesha kuwa wapole sana mwanzoni. Baada ya muda hubadilika na kuwa kama chui aliyejeruhiwa. Wanasahau kwamba wanapaswa kuishi na wanawake kwa akili.
Na wao (wanaume) ndio hasa chanzo cha mabadiliko chanya au hasi. Wanaume muishi na wanawake kwa akili, msiwe wakali pasipo sababu. Loh!
Dj shusha ngoma ya TID ft JIDE - UNDERSTANDING