Ni kweli mapenz sio vitaKwenye mahusiano, wanaume hujionesha kuwa wapole sana mwanzoni. Baada ya muda hubadilika na kuwa kama chui aliyejeruhiwa. Wanasahau kwamba wanapaswa kuishi na wanawake kwa akili.
Na wao (wanaume) ndio hasa chanzo cha mabadiliko chanya au hasi. Wanaume muishi na wanawake kwa akili, msiwe wakali pasipo sababu. Loh!
Sasa kumbe unamchezea sharubu[emoji23][emoji23][emoji23], huyo mwanaume atakayekubali hayo atakuwa ni mjinga kuliko wote. Hampendi amani nyie jinsia[emoji23][emoji23][emoji23]No. Wala sio mie.
Nimejaribu tu kufanya kautafiti kwa baadhi ya wanandoa na wapenzi wanaofanyiana ukatili. Tatizo ni kutoonesha uhalisia tangu mwanzo.
anadhani upole ndio tabia yake, anaanza kumchezea 'sharubu' kumbe jamaa anapretend
Asiwe mkali lakini asiwe mpole awe katikati [emoji1787][emoji1787]Si mlisema mwanaume akiwa mpole sana anakera imekuaje tena?
Wastani π kumaintain hiyo hali ni ngumu inategemea na mwanamke nae yupojeAsiwe mkali lakini asiwe mpole awe katikati [emoji1787][emoji1787]
Sisi bana tukijuwa tunapendwa for real tunakuwa very royal....so tunadance according to the beatWastani [emoji28] kumaintain hiyo hali ni ngumu inategemea na mwanamke nae yupoje
Hamuelewekagi nyie ni kuishi nanyi kwa akili tuSisi bana tukijuwa tunapendwa for real tunakuwa very royal....so tunadance according to the beat
Sasa wewe unaona sex ni kitu kidogo?Ukiona hivyo ujue Out of sex kwenye mahusiano ujue hakuna kitu una changia.
Unafail mkuu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hamuelewekagi nyie ni kuishi nanyi kwa akili tu
Tukiwa wapole napo mnalalamika! Hamjui mnachokitaka mbwa nyieKwenye mahusiano, wanaume hujionesha kuwa wapole sana mwanzoni. Baada ya muda hubadilika na kuwa kama chui aliyejeruhiwa. Wanasahau kwamba wanapaswa kuishi na wanawake kwa akili.
Na wao (wanaume) ndio hasa chanzo cha mabadiliko chanya au hasi. Wanaume muishi na wanawake kwa akili, msiwe wakali pasipo sababu. Loh!
[emoji23].. other than that?........ hahahaha [emoji38][emoji28][emoji28] Najiona kabisa ila nipogo vizuri kwa submissive women other than that get fakd bitch [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Goodluck blaming yourself for your partners rage attacks, especially when you say no to something they asked/said or set a boundary.inaonekana mwanzoni ulimtreat nicely ila baadae ulibadilika ukawa unamhandle vibaya ndio maana akawa mkali kama chui, maana angeweza kuwa mkali kama kiumbe kingene chochote.
ππππππ[emoji23].. other than that?........ hahahaha [emoji38]
Na nyie wanawake mtu akianza na nyie kwa upole nanyie endeleeni kuwa wapole ila mkianza vicharuko msifikil wanaume watabaki kuwa wapole shida mnazianzisha nyie kama mnavotaka tuish nanyie kiakil na nyie muish na ss kiakil simba dume uwa n mpole kwa jike lakin jike likizngua unaelewa kinacho fanyikaaaa.......Kwenye mahusiano, wanaume hujionesha kuwa wapole sana mwanzoni. Baada ya muda hubadilika na kuwa kama chui aliyejeruhiwa. Wanasahau kwamba wanapaswa kuishi na wanawake kwa akili.
Na wao (wanaume) ndio hasa chanzo cha mabadiliko chanya au hasi. Wanaume muishi na wanawake kwa akili, msiwe wakali pasipo sababu. Loh!
Nunua henessy kwa mangi siji kulipaNa nyie wanawake mtu akianza na nyie kwa upole nanyie endeleeni kuwa wapole ila mkianza vicharuko msifikil wanaume watabaki kuwa wapole shida mnazianzisha nyie kama mnavotaka tuish nanyie kiakil na nyie muish na ss kiakil simba dume uwa n mpole kwa jike lakin jike likizngua unaelewa kinacho fanyikaaaa.......