Aaliyyah
JF-Expert Member
- Mar 20, 2022
- 19,041
- 46,239
Mm sijui Kwan hufungi kwaresmaSikukuu ni lini mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mm sijui Kwan hufungi kwaresmaSikukuu ni lini mkuu
Nitafunga wiki ijayoMm sijui Kwan hufungi kwaresma
😀😀Hamna mfungaji hapaNitafunga wiki ijayo
Nitajitahidi, vitu vimepanda bei sana😀😀Hamna mfungaji hapa
Unapenda sana wazee na we nae.Huu si utapeli huu.
Nimekuwa kwenye mahusiano na mmama mmoja, anayejishughulisha kwenye mambo ya biashara mbalimbali.
Kusema ukweli tumefaidiana sana; ukiwa naye utapiga mpaka wewe mwenyewe uchoke, hana mapozi na anajua kusimamia nafasi yake kama mwanamke.
Mwezi uliopita nilienda kumtembelea huko mkoani; kama mjuavyo tena, tukafanya yetu, na muda ulivyoisha nilirudi kwangu.
Tangu ijumaa iliyopita, amekuwa na mahaba mazito sana kwangu; anasema anataka aje azae na mimi, mara anapiga simu usiku nimpe maneno matamu aweze kufikia mshindo, mara antena yake inasimama anavyonikumbuka n.k.
Mbaya zaidi, amelazimisha kesho aanze safari kuja kunifuata ili nimuondolee msongo wa mawazo; nikamuuuliza una mawazo gani, (mi nikifikiri labda ni ny.ge tu)? Akasema, 'biashara yangu imefungiwa kutokana na limbikizo la kodi'.
Hapo ndipo akili ikashtuka, kumbe huyu kiumbe pamoja na kunionyesha mahaba yote wiki hii, lengo lake ni kutaka salio kwa kisingizio cha mahusiano! Nikapiga hesabu za haraka haraka, nikaona hali hairuhusu, nikamwambia ''sasa hivi siko vizuri ila kama nauli na mashine utapata tu.''
Akasema, ''haina shida, kesho nakuja we jiandae unipe vya kutosha, muhimu niondoe msongo wa mawazo''.
Hapa najiuliza wakuu, hawezi kutumia mbinu za kianamke kwa kunivizia pale napotaka kuachia goli, akaichomoa nje, mpaka nimthibitishie kumsaidia ndipo airejeshe ndani?
ha ha ha, wana mizigo halafu ni wazoefuUnapenda sana wazee na we nae.
Utazeeka soon.ha ha ha, wana mizigo halafu ni wazoefu
Hapana, kipi kitanizeesha?Utazeeka soon.
Ukitembea na wazee unanuka kizee, unaanza kua na mawazo ya kizee, matendo yote kizee hadi kunisaidia haja kubwa umesimama.Hapana, kipi kitanizeesha?
ha ha ha umeyaonewa wapi hayoUkitembea na wazee unanuka kizee, unaanza kua na mawazo ya kizee, matendo yote kizee hadi kunisaidia haja kubwa umesimama.
Kwa kaka angu hivi. Sa hv ukimuona kazeeka kazeeka.ha ha ha umeyaonewa wapi hayo
ha ha ha, atakuwa alimwaga mpaka ubongoKwa kaka angu hivi. Sa hv ukimuona kazeeka kazeeka.
😅😅we jamaaKimbia mi kuna mmoja muhuni tu ananiandikia upumbavu wake eti nataka niwe wako wa permanent na anajua nina familia changa.Nimemblock kila sehemu mwanamke gani mweusi kama kunguru .
Alf akili zake za kizeee sanaha ha ha, atakuwa alimwaga mpaka ubongo
Atakuwa amekosa lishe bora, asiwe anakula viazi vitamu; mwambie anywe supu ya sato mzima kila siku asubuhiAlf akili zake za kizeee sana
Mle tiGoHuu si utapeli huu.
Nimekuwa kwenye mahusiano na mmama mmoja, anayejishughulisha kwenye mambo ya biashara mbalimbali.
Kusema ukweli tumefaidiana sana; ukiwa naye utapiga mpaka wewe mwenyewe uchoke, hana mapozi na anajua kusimamia nafasi yake kama mwanamke.
Mwezi uliopita nilienda kumtembelea huko mkoani; kama mjuavyo tena, tukafanya yetu, na muda ulivyoisha nilirudi kwangu.
Tangu ijumaa iliyopita, amekuwa na mahaba mazito sana kwangu; anasema anataka aje azae na mimi, mara anapiga simu usiku nimpe maneno matamu aweze kufikia mshindo, mara antena yake inasimama anavyonikumbuka n.k.
Mbaya zaidi, amelazimisha kesho aanze safari kuja kunifuata ili nimuondolee msongo wa mawazo; nikamuuuliza una mawazo gani, (mi nikifikiri labda ni ny.ge tu)? Akasema, 'biashara yangu imefungiwa kutokana na limbikizo la kodi'.
Hapo ndipo akili ikashtuka, kumbe huyu kiumbe pamoja na kunionyesha mahaba yote wiki hii, lengo lake ni kutaka salio kwa kisingizio cha mahusiano! Nikapiga hesabu za haraka haraka, nikaona hali hairuhusu, nikamwambia ''sasa hivi siko vizuri ila kama nauli na mashine utapata tu.''
Akasema, ''haina shida, kesho nakuja we jiandae unipe vya kutosha, muhimu niondoe msongo wa mawazo''.
Hapa najiuliza wakuu, hawezi kutumia mbinu za kianamke kwa kunivizia pale napotaka kuachia goli, akaichomoa nje, mpaka nimthibitishie kumsaidia ndipo airejeshe ndani?
😂😂😂Weeeh anakula vzuri lkn muda wote ananukia naniiiiii ya wazee wenzieAtakuwa amekosa lishe bora, asiwe anakula viazi vitamu; mwambie anywe supu ya sato mzima kila siku asubuhi
Huu si utapeli huu.
Nimekuwa kwenye mahusiano na mmama mmoja, anayejishughulisha kwenye mambo ya biashara mbalimbali.
Kusema ukweli tumefaidiana sana; ukiwa naye utapiga mpaka wewe mwenyewe uchoke, hana mapozi na anajua kusimamia nafasi yake kama mwanamke.
Mwezi uliopita nilienda kumtembelea huko mkoani; kama mjuavyo tena, tukafanya yetu, na muda ulivyoisha nilirudi kwangu.
Tangu ijumaa iliyopita, amekuwa na mahaba mazito sana kwangu; anasema anataka aje azae na mimi, mara anapiga simu usiku nimpe maneno matamu aweze kufikia mshindo, mara antena yake inasimama anavyonikumbuka n.k.
Mbaya zaidi, amelazimisha kesho aanze safari kuja kunifuata ili nimuondolee msongo wa mawazo; nikamuuuliza una mawazo gani, (mi nikifikiri labda ni ny.ge tu)? Akasema, 'biashara yangu imefungiwa kutokana na limbikizo la kodi'.
Hapo ndipo akili ikashtuka, kumbe huyu kiumbe pamoja na kunionyesha mahaba yote wiki hii, lengo lake ni kutaka salio kwa kisingizio cha mahusiano! Nikapiga hesabu za haraka haraka, nikaona hali hairuhusu, nikamwambia ''sasa hivi siko vizuri ila kama nauli na mashine utapata tu.''
Akasema, ''haina shida, kesho nakuja we jiandae unipe vya kutosha, muhimu niondoe msongo wa mawazo''.
Hapa najiuliza wakuu, hawezi kutumia mbinu za kianamke kwa kunivizia pale napotaka kuachia goli, akaichomoa nje, mpaka nimthibitishie kumsaidia ndipo airejeshe ndani?
Mbona wewe binti hiyo ndio moja ya tabia yako pendwa.Utajua mwenyewe, mmetufanya jamiiforum kama sehemu yakutupumzikia