Utajua mwenyewe, mmetufanya jamiiforum kama sehemu yakutupumzikia
Mwanangu mpwayangu wasituchoshe bado tuna majukumu ya kuwapigania walimu wapate haki zao zote hivo wasituchanganye kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utajua mwenyewe, mmetufanya jamiiforum kama sehemu yakutupumzikia
Tatizo mnatugeuza kuwa saccosHapo hujaombwa hela umeshaanza kujistukia!wanamme wa siku hizi mmekuwa waoga Sana aiseee
Ukitaka kumchinja kobeHuu si utapeli huu.
Nimekuwa kwenye mahusiano na mmama mmoja, anayejishughulisha kwenye mambo ya biashara mbalimbali.
Kusema ukweli tumefaidiana sana; ukiwa naye utapiga mpaka wewe mwenyewe uchoke, hana mapozi na anajua kusimamia nafasi yake kama mwanamke.
Mwezi uliopita nilienda kumtembelea huko mkoani; kama mjuavyo tena, tukafanya yetu, na muda ulivyoisha nilirudi kwangu.
Tangu ijumaa iliyopita, amekuwa na mahaba mazito sana kwangu; anasema anataka aje azae na mimi, mara anapiga simu usiku nimpe maneno matamu aweze kufikia mshindo, mara antena yake inasimama anavyonikumbuka n.k.
Mbaya zaidi, amelazimisha kesho aanze safari kuja kunifuata ili nimuondolee msongo wa mawazo; nikamuuuliza una mawazo gani, (mi nikifikiri labda ni ny.ge tu)? Akasema, 'biashara yangu imefungiwa kutokana na limbikizo la kodi'.
Hapo ndipo akili ikashtuka, kumbe huyu kiumbe pamoja na kunionyesha mahaba yote wiki hii, lengo lake ni kutaka salio kwa kisingizio cha mahusiano! Nikapiga hesabu za haraka haraka, nikaona hali hairuhusu, nikamwambia ''sasa hivi siko vizuri ila kama nauli na mashine utapata tu.''
Akasema, ''haina shida, kesho nakuja we jiandae unipe vya kutosha, muhimu niondoe msongo wa mawazo''.
Hapa najiuliza wakuu, hawezi kutumia mbinu za kianamke kwa kunivizia pale napotaka kuachia goli, akaichomoa nje, mpaka nimthibitishie kumsaidia ndipo airejeshe ndani?
Tafuteni hela itawaongezea confidence 😂Tatizo mnatugeuza kuwa saccos
Sawa tutatafuta, je na nyie mtatafuta nini?Tafuteni hela itawaongezea confidence 😂
Tutatafuta hela pia,so unaona mama anapambana na mabiashara kakwama kidogo umeshaanza kuogopa kumsaidia na ukaona haitoshi umekuja kumtangaza humu mweeeh😂Sawa tutatafuta, je na nyie mtatafuta nini?
Huwa nafikiria ni lini mwanaume hatoombwa hela; nikimaanisha kila mmoja ke na me wawe ni watafutaji, kinachowakutanisha kiwe ni kubadilishana ladha tu, na si kuombana salio.Tutatafuta hela pia,so unaona mama anapambana na mabiashara kakwama kidogo umeshaanza kuogopa kumsaidia na ukaona haitoshi umekuja kumtangaza humu mweeeh😂
Africa bado Sana,kwanza mwanaume wa kiafrica usipompiga mizinga anakuona cheap🤔Huwa nafikiria ni lini mwanaume hatoombwa hela; nikimaanisha kila mmoja ke na me wawe ni watafutaji, kinachowakutanisha kiwe ni kubadilishana ladha tu, na si kuombana salio.
Ebu njoo kwangu lakini usinipige mizinga na hakuna kufuatana fuatana; hapo utakuwa na thamani kubwaAfrica bado Sana,kwanza mwanaume wa kiafrica usipompiga mizinga anakuona cheap🤔
Watanzania wote Ni sawaEbu njoo kwangu lakini usinipige mizinga na hakuna kufuatana fuatana; hapo utakuwa na thamani kubwa
Wacha nicheke tu 😂😂😂Huu si utapeli huu.
Nimekuwa kwenye mahusiano na mmama mmoja, anayejishughulisha kwenye mambo ya biashara mbalimbali.
Kusema ukweli tumefaidiana sana; ukiwa naye utapiga mpaka wewe mwenyewe uchoke, hana mapozi na anajua kusimamia nafasi yake kama mwanamke.
Mwezi uliopita nilienda kumtembelea huko mkoani; kama mjuavyo tena, tukafanya yetu, na muda ulivyoisha nilirudi kwangu.
Tangu ijumaa iliyopita, amekuwa na mahaba mazito sana kwangu; anasema anataka aje azae na mimi, mara anapiga simu usiku nimpe maneno matamu aweze kufikia mshindo, mara antena yake inasimama anavyonikumbuka n.k.
Mbaya zaidi, amelazimisha kesho aanze safari kuja kunifuata ili nimuondolee msongo wa mawazo; nikamuuuliza una mawazo gani, (mi nikifikiri labda ni ny.ge tu)? Akasema, 'biashara yangu imefungiwa kutokana na limbikizo la kodi'.
Hapo ndipo akili ikashtuka, kumbe huyu kiumbe pamoja na kunionyesha mahaba yote wiki hii, lengo lake ni kutaka salio kwa kisingizio cha mahusiano! Nikapiga hesabu za haraka haraka, nikaona hali hairuhusu, nikamwambia ''sasa hivi siko vizuri ila kama nauli na mashine utapata tu.''
Akasema, ''haina shida, kesho nakuja we jiandae unipe vya kutosha, muhimu niondoe msongo wa mawazo''.
Hapa najiuliza wakuu, hawezi kutumia mbinu za kianamke kwa kunivizia pale napotaka kuachia goli, akaichomoa nje, mpaka nimthibitishie kumsaidia ndipo airejeshe ndani?
Chief ilo tatizo la weusi unalolikwepa kwa mpenzi wako mi ndiyo ugonjwa wangu.Kimbia mi kuna mmoja muhuni tu ananiandikia upumbavu wake eti nataka niwe wako wa permanent na anajua nina familia changa.Nimemblock kila sehemu mwanamke gani mweusi kama kunguru .
Mi mwenyewe mwanamke wangu mweusi kama chungu kipya .Inaitwa changamsha genge tu.Chief ilo tatizo la weusi unalolikwepa kwa mpenzi wako mi ndiyo ugonjwa wangu.
Wallah wadada weusi wana nafasi ya pekee kwenye moyo wangu Mungu Shahidi. 😁